Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ikulu ni ya watanzania wote, kwahiyo chadema mkiingia ikulu wapinzani hawataruhusiwa kuja ikulu? Na hamtashirikiana nao kwa namna yoyote kisa wataitwa wasaliti?Huyu jamaa asipigiwe kura za kumwezesha kushinda,ni Bonge la msaliti,juzi kati apo kaitwa ikulu,akaenda Mbeya kwa sapot ya ikulu,huyu haaminiki kamwe
Hivi alikuwa wapi? Kwenye misafara ya Jiwe?Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.
Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Braza,huyu mchumia tumbo awe KUB labda kwa mbereko ya boss wake,tabu ni pale,jiwe anamhitaji sana KimeiHafai kabisa huyu na uzuri wake tayari wana vunjo washamuelewa kuwa ni mchumia tumbo.
Alafu bila aibu hata kabla ya kampeini kuanza anajitapa kuwa NCCR ndiyo sasa kinaenda kuwa KUB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbatia keshaingizwa chaka tayariBraza,huyu mchumia tumbo awe KUB labda kwa mbereko ya boss wake,tabu ni pale,jiwe anamhitaji sana Kimei
Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.
Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]haaaahaa,msalit hakubarik ata kwenye maandiko
maelfu? hawa? like seriously?Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.
Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Wale Dr Kimei walepelekwa na mabasi kutoka rombo na mwanga kwenda vunjo na kurudishwa walikotoka baada ya mkutano.pia mbatia kwenda kuwachukua wale wale wa Kimei.Mbona watu wachache sana tofauti na mkutano wa Dr Kimei?
Huyo anatumika huyoHuyu jamaa asipigiwe kura za kumwezesha kushinda,ni Bonge la msaliti,juzi kati apo kaitwa ikulu,akaenda Mbeya kwa sapot ya ikulu,huyu haaminiki kamwe
Mbatia huyu huyu wa "Mama yetu mzazi Tanzania"?Septemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.
Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180
Lazima pipa za mbege haziko mbali na hapo ... na k vanti yakupunguzua gesi. Ndo maanaSeptemba 19, 2020 Viwanja vya Polisi Himo, Moshi mkoani Kilimanjaro viliwaka moto huku ikishuhudiwa maelfu ya wanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi na wakaazi wa jimbo la Vunjo kutoka kila kona ya Moshi wakimiminika kwenye viwanja hivyo kumlaki na kumsindikiza mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Injinia Ndugu James Francis Mbatia kwenye uzinduzi wa kampeni ndani ya Jimbo la Vunjo.
Mbatia akiambatana na madiwani wa kata zote za Jimbo la Vunjo aliongoza ufunguzi wa mkutano wa kampeni kwa kueleza mambo ambayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita amewafanyia wana vunj
View attachment 1575180