James Mbatia: UKAWA ilituachia mzigo wa kulipa deni la Tsh. milioni 91 huku wakijua tuna mbunge mmoja tu

James Mbatia: UKAWA ilituachia mzigo wa kulipa deni la Tsh. milioni 91 huku wakijua tuna mbunge mmoja tu

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia akizungumza katika kipindi cha CLOUDS 360 cha Clouds TV amesema kuwa UKAWA waliwafanyia uhuni sana NCCR-MAGEUZI kwa kuwalipisha deni la milioni 91 huku wakijua kabisa NCCR-Mageuzi wana mbunge mmoja tu.

Pia James Mbatia amekana kuwa chama chake sio CCM B kama inavyosemwa na watu wengi bali chama chake ni chama cha kimageuzi chenye lengo la kuitoa CCM madarakani, hivyo hakiwezi kuwa na ushirika na CCM kabisa.

Pamoja na mengi aliyozungumza, pia James Mbatia amewahakikishia ushindi mnono sana wa majimbo wana NCCR-MAGEUZI wote.
 
Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti wao. Jamaa kigeu geu sana. Sometimes inafikirisha kama ni mpinzani wa kweli. Maana amekuwa mtu wa kuwapa CCM points katika vile vipindi muhimu vya maamuzi, Since sakata la Zitto 2014 mpaka leo hii 2020 Mwenyekiti anarudisha nyuma sana CDM/upinzani kwa ujumla kwa vituko vyake.
 
Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti wao. Jamaa kigeu geu sana. Sometimes inafikirisha kama ni mpinzani wa kweli. Maana amekuwa mtu wa kuwapa CCM points katika vile vipindi muhimu vya maamuzi, Since sakata la Zitto 2014 mpaka leo hii 2020 Mwenyekiti anarudisha nyuma sana CDM/upinzani kwa ujumla kwa vituko vyake.
Naunga mkono hoja, point hii, ila wafuasi wake wamepigwa upofu hawaoni hilo ni mpaka wakifukuzwa uwanachama ndiyo wanaanza kuropoka yale ya ndani, sasa sijui wanamuogopa sana mwenyekiti wao kumkosoa
 
Hilo deni lilitokana na nini?!

Mbona hao makanjanja huko Clouds hawaulizi maswali ya msingi?

Jamaa alijaribu kutafuta wanachama wa kununua akawakosa, leo nimemsikia anasema siasa ni akili kama nywele kila mtu ana zake!.
 
Maana kuna malingo humu duniani ambayo wanatakiwa kuyaondoa kwa lazima!?

MALINGO YANAPOANZIA

1. ZAA MTOTO SOMESHA HAKUNA KAZI

2. ABUDU SHERIA LAKINI NI VISTORY VYA KUSIMULIA WAJUKUU KWA WENGINE MFANO SHERIA YA VYAMA VYA SIASA

3. FIKILISHWA KWA LAZIMA BILA HELA KWA AJILI YA JAMII NA USUMBILI KUJIUWA

4. WATU KUWEKA NDOTO NYINGI KWA MTU MMOJA KWA MATATIZO YA WENGI


5. MAISHA YA KUBORESHA YAKIJA ZIBA HELA ZISIPATIKANE MTAANI

6. HATA VIPI TUTAWEKA TATIZO KWA MTU MMOJA NA SIYE TUENJOY

7. KIKOSI ILIBIDI KIANDAE JANGA LA KUFIKIRISHA WATOA MAAMUZI

NA KATHALIKA

Kwa sababu hakuna mkamilifu hiki kikosi ndicho kitatumika kuwanyosha WATAKATIFU WA NATHALETI pamoja na MFALME ERODE....

Check walivyorelax kwenye mjengo hapo ni kusifia barabara tu maana kesho hukumbuki



Watakubalika tu
 
UKAWA waliwafanyia uhuni sana NCCR-MAGEUZI kwa kuwalipisha deni la milioni 91 huku wakijua kabisa NCCR-Mageuzi wana mbunge mmoja tu.
Kama kweli hao waandishi wana akili, wangeuliza hivi, kwanini hilo deni aliseme sasa hivi? Kwanini alikubali deni la 91m huku akijua wako na mbunge mmoja tu? Huu ni utoto na siasa za kipuuzi sana, hakika nimeamini kila mtu ana price tag yake, not Mbatia ninayemjua
 
Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti wao. Jamaa kigeu geu sana. Sometimes inafikirisha kama ni mpinzani wa kweli. Maana amekuwa mtu wa kuwapa CCM points katika vile vipindi muhimu vya maamuzi, Since sakata la Zitto 2014 mpaka leo hii 2020 Mwenyekiti anarudisha nyuma sana CDM/upinzani kwa ujumla kwa vituko vyake.
afu ukiwa ccm unaona tatizo ni Mbowe af chadema hawalion inafikirisha sana
 
Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti wao. Jamaa kigeu geu sana. Sometimes inafikirisha kama ni mpinzani wa kweli. Maana amekuwa mtu wa kuwapa CCM points katika vile vipindi muhimu vya maamuzi, Since sakata la Zitto 2014 mpaka leo hii 2020 Mwenyekiti anarudisha nyuma sana CDM/upinzani kwa ujumla kwa vituko vyake.
Kama alivyo mwenyekiti wetu wa ccm,ni yeye anayeamua nani agombee,na nani asigombee ubunge.
Inategemea ameamkaje siku hiyo.
Hata mimi ya uraisi imetolewa moja tu,huu si udikteta jamani???
 
tehteh yaaan hata mwanafunzi wa darasa lq 7 atakwambia yupo upande gani,Ila watu wa vunjo sijui shida nn aiseeeee
 
Hilo deni lilitokana na nini?!

Mbona hao makanjanja huko Clouds hawaulizi maswali ya msingi?

Jamaa alijaribu kutafuta wanachama wa kununua akawakosa, leo nimemsikia anasema siasa ni akili kama nywele kila mtu ana zake!.
Hao clouds na yeye huyo ndiyo walewale
 
Back
Top Bottom