Nahisi mleta mada ndio James Mbowe mwenyewe, labda baba yake kamtuma kuja kupima upepo na kuwandaa watu kisaikolojia.Ili akishapewa CCM muanze kupiga kelele za wanarithishana uongozi, propaganda zenu bado sana.
HahahahahaNi jina tuu ama pia ana nasaba na Freeman?.
P
Nahisi baba aliamua huyu asiende kuishi Marekani kama wenzake kwa sababu maalum.Ni jina tuu ama pia ana nasaba na Freeman?.
P
Mmmmm kuna royal family somewhere, baba ex president mama ni MP,mtoto ni minister, na upumbavu huu unaonyesha madhara ya middle class ya kushindwa ile reading to the meaning, mtoa mada ametoa maoni yake na CDM ina utaratibu ndani ya katiba yake kuhusu nafasi ya Chairman, haigawiwi kama vyeo vya U DC ambao wengi humu wanajitoa ufahamu ili wapewe u DC!,ngoja niendelee na mbeta zangu za ulanzi hapa lingusenguseHalafu hapa kuna watu wanajiita eti WANACHADEMA!!!....Inasikitisha kweli....
Nonsense!....
Umeiona familia ya wenye chadema sasa!!?
Chama cha kifamilia.... Sawa na utawala wa kifalme.......akitoka baba.....mwana....na mwingine wa kufanana nao....
Stuka!.....
Chama cha ccm ndio family affairs!,makambas, kikwetes,kawawas, etc etc...Halafu hapa kuna watu wanajiita eti WANACHADEMA!!!....Inasikitisha kweli....
Nonsense!....
Umeiona familia ya wenye chadema sasa!!?
Chama cha kifamilia.... Sawa na utawala wa kifalme.......akitoka baba.....mwana....na mwingine wa kufanana nao....
Stuka!.....
Wewe nawe mleta mada ni mccm mwenzako anafanya kejeliAcheni kurithishana Hilo halitawezekana
Kiukweli kabisa simjui na sijawahi msikia popote ndio leo.Hahahahaha
Mkuu, ni kwamba hujui so unataka kujuzwa au unamtania mleta mada?
Acha wivu mkuu! Mbona Makamba na Makamba junior, Mhe Kikwete na Junior pia yupo tena Naibu Waziri. Tatizo niniHalafu hapa kuna watu wanajiita eti WANACHADEMA!!!....Inasikitisha kweli....
Nonsense!....
Umeiona familia ya wenye chadema sasa!!?
Chama cha kifamilia.... Sawa na utawala wa kifalme.......akitoka baba.....mwana....na mwingine wa kufanana nao....
Stuka!.....