Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
-Ndivyo alivyokuambia kutoka mahabusu?"Baba wa Taifa Julius Nyerere akisalimiana na Baba yake Mbowe Aikaeli Alfayo Mbowe Tuna Historia na Nchi hii nafikiri kipindi hiki kuna watu walikuwa wanachunga Mbuzi makwao" - James Mbowe
-Ndivyo walivyoandika walioona wangependa kuandika?
-Umependa tu kuuliza swali kwa mtu ambaye kwa kiwango chake cha Uhuru anaopangiwa bajeti angeweza kukujibu au asipate wasaa wa kukujibu?