James Sinclair: Tanzania royalty comments of the impact of Acacia/Barrrick - Tanzania settlement

James Sinclair: Tanzania royalty comments of the impact of Acacia/Barrrick - Tanzania settlement

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
DM9dqebXcAABQSY.jpg


Kwa wale wenye uelewa wa taratibu tunawaletea hili ili muendelee kujielimisha.
 
Wazungu ni Wazungu tu..! Wala hujui kama ilikuwa lazima waandike hayo.

Kule Mwadui walituletea Goroli kwa ajili ya bao wao wakachukua almasi. Akili zetu na zao hazijabadilika
Naamini akili zetu zimebadilika sana sina uhakika na wazungu
 
Bavichaa hawaelewi kitu hapo wamezoea kumezeshwa na lisu
 
jingalao hapo kuna lipi jipya? Halafu huyu James Sinclair si ndiye yule mliyekuwa mnamwita "kuwadi' kwenye sekta ya madini?
 
Nimeleta maoni yake tu.Haimaanishi maoni ya watanzania juu yake yako vilevile au yamebadilika
Nimesoma bandiko lote sijaona tofauti na mabandiko yaliyobandikwa humu tangu siku Kabudi na Thornton wabadilishane hati za makubaliano ya mapendekezo ya kufanyiwa kazi na Barricks, siku ile pale Ikulu.

Hili jambo tukilijaza ushabiki tutalitia najisi!
 
"It was not immediately clear if the government would lift the demand for ACACIA to meet a 190$ billions demand for unpaid Taxes".

Statement hiyo juu ndo ya msingi zaidi nililoliona katika hiyo Statement!!. Swali la msingi ni hili : Kwa kuwa kumbe bado haijawa clear kama serikali italipursue hilo deni au la, Je Serikali ina msimamo gani kuhusu kudai hizo Dola Billioni 190 ambazo ni takriban shilingi Trillion 425 tulizoibiwa kwa miaka mingi?
 
Gamba la Nyoka ndiyo maana nimemwambia kwamba hapo sijaona jipya. Hoja yetu sisi wengine ni kwamba ni kwa nini mapendekezo yageuzwe yaonekane kuwa kama ni maafikiano ya kulipana? Haya majadiliano bado yanaendelea sasa sijajua ni kwa nini tuliletewa lile tukio!
 
"It was not immediately clear if the government would lift the demand for ACACIA to meet a 190$ billions demand for unpaid Taxes".

Statement hiyo juu ndo ya msingi zaidi nililoliona katika hiyo Statement!!. Swali la msingi ni hili : Kwa kuwa kumbe bado haijawa clear kama serikali italipursue hilo deni au la, Je Serikali ina msimamo gani kuhusu kudai hizo Dola Billioni 190 ambazo ni takriban shilingi Trillion 425 ambazo tumeibiwa kwa miaka mingi?
Msimamo si mazungumzo bado yanaendelea au kuna lingine?.
Tusichanganyane jamani. Tujadili yaliyokubaliwa,ambayo bado tuyaache!!
 
Hatua nzuri tuliyofikia.
Swali langu la kitaaluma kwa watu wa madini na TMAA, je viwango vya madini buzwagi na buly wanakozalisha makinikia kwa sasa ni vipi?
Je ni vile vile kama acacia na Barrick walivyodai na kuvisimamia?
Au ni hivi vya report za tume ya kitaalam?

Na faida zungumziwa ni ipi(50/50) ni ile after return on investment ambayo kwa mgodi unaofungwa wa buzwagi inaanza kupatikana siku ya kufungwa kwake au ni zile faida za kila mwaka za uzalishaji.
Wataalamu wa madini sio wanasiasa wanasemaje juu ya makubaliano haya, Je? Ni mwarobaini wa kilio cha wizi wa madini nchini au kuna jiwe juu ya jiwe limesalia?

Natamani kupata expert opinions katika hayo pia ili kunoa furaha yetu juu ya juhudi njema zinazoendelea ktk maboresho ya sekta tajirishi ya madini. ..
 
Nimesoma bandiko lote sijaona tofauti na mabandiko yaliyobandikwa humu tangu siku Kabudi na Thornton wabadilishane hati za makubaliano ya mapendekezo ya kufanyiwa kazi na Barricks, siku ile pale Ikulu.

Hili jambo tukilijaza ushabiki tutalitia najisi!
yako mabandiko ya kupotosha ila umeamua kuignore
 
"It was not immediately clear if the government would lift the demand for ACACIA to meet a 190$ billions demand for unpaid Taxes".

Statement hiyo juu ndo ya msingi zaidi nililoliona katika hiyo Statement!!. Swali la msingi ni hili : Kwa kuwa kumbe bado haijawa clear kama serikali italipursue hilo deni au la, Je Serikali ina msimamo gani kuhusu kudai hizo Dola Billioni 190 ambazo ni takriban shilingi Trillion 425 tulizoibiwa kwa miaka mingi?
Msimamo wa serikali ni uleule...yaani pamoja na mnachokiita kishika uchumba bado kuna mjadala kuhusu kodi tuliyowadai.sasa kuna baadhi ya bavicha walitaka kupotosha eti tumeachia kodi tukachukua kishika uchumba.
 
Gamba la Nyoka ndiyo maana nimemwambia kwamba hapo sijaona jipya. Hoja yetu sisi wengine ni kwamba ni kwa nini mapendekezo yageuzwe yaonekane kuwa kama ni maafikiano ya kulipana? Haya majadiliano bado yanaendelea sasa sijajua ni kwa nini tuliletewa lile tukio!
Hivi barrick kukubali yale iliyoyakubali ni jambo dogo?Tuwe wakweli kidogo
 
Back
Top Bottom