Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Huo mgodi wake uko wapi?Ni dalali aliyekuja TANZANIA kwa kigezo cha uwekezaji kwenye sekta ya madini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mgodi wake uko wapi?Ni dalali aliyekuja TANZANIA kwa kigezo cha uwekezaji kwenye sekta ya madini.
Tunajua lakini mwisho wa siku kilichosainiwa si makubaliano ni mapendekezo ya kufanyiwa kazi na Barricks na Acacia, na wakimalizana ndiyo yatakuwa ni makubaliano kati ya sisi na wao!Kuna makubaliano ya kisheria kati ya Tanzania na barrick...usidhani mazungumzo ya miezi takribani mitatu yalikuwa ni mazungumzo madogo
Unabadilisha!Tunajua lakini mwisho wa siku kilichosainiwa si makubaliano ni mapendekezo ya kufanyiwa kazi na Barricks na Acacia, na wakimalizana ndiyo yatakuwa ni makubaliano kati ya sisi na wao!
Hili jambo linatiwa chumvi mno kwa faida za kisiasa!
subiri uoneBavichaa hawaelewi kitu hapo wamezoea kumezeshwa na lisu
Hivi barrick kukubali yale iliyoyakubali ni jambo dogo?Tuwe wakweli kidogo
Msimamo wa serikali ni uleule...yaani pamoja na mnachokiita kishika uchumba bado kuna mjadala kuhusu kodi tuliyowadai.sasa kuna baadhi ya bavicha walitaka kupotosha eti tumeachia kodi tukachukua kishika uchumba.