mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Kwa wale tunaosikliza habari na burudani za Yesu kupitia Radio hii watakua wanamfahamu............nimebahatika kumsikiliza mara nyingi vipindi vya usiku...kw akweli kijana ana upako wa hali ya juu...au tuseme namna anavyoweza kuongelea jambo/kusali na kuombea kwa uhalisia..kwa kweli amebarikiwa kwa hili!!..anakesha usiku kucha akiwaombea wenye shida mbalimbali..............kwangu mimi amenibariki sana na maombi yake!!
Mungu akazidi kumbariki........jaribu kutune radio hiyo utamfahamu zaidi........99.2fm
Mungu akazidi kumbariki........jaribu kutune radio hiyo utamfahamu zaidi........99.2fm