rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwani wakati wanasema goli liwe kona, au wanakataa magoli ya azam au walipotoa penati nje ya box na kadi nyekundu dhidi ya kagera mbona mlikuwa hamuongei ila Eymel alipowaambia hamjui mpira mko kama manyani na kubweka kama majibwa mkasema kawatukana kumbe alikuwa anawaambia ukweliMsimu huu naona marefa wameamua kutenda haki,mikia mtajuta
Wewe uhacheza marudiano na Mbeya City!?Hao hao mbeya city wanaocheza nao kwenye mrudiano kazi wanayo
Hapana, tunachotaka ni kuifunga Yanga 4G tuNdio mnataka ubingwa wa Afrika kwa timu hii?
Uwanja mbovu, wote mmeona na kwa wachezaji wa kimataifa lazma wajali afya zao kwanza, subirini waje Taifa ndio mtajua hamjui.Vepeeee limepatikana?
Nitajie mchezaji mmoja tu ambaye ni mgen wa hivi viwanjaUwanja mbovu, wote mmeona na kwa wachezaji wa kimataifa lazma wajali afya zao kwanza, subirini waje Taifa ndio mtajua hamjui.
1.OnyangoNitajie mchezaji mmoja tu ambaye ni mgen wa hivi viwanja
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
mkuu tukubaali ma supestr wengi hasa wanaocheza national team kwenye nchi zao hawakubali kuumia kijinga, uwnja umeikost sana Simbafraga peke yake ndio tunaweza ona ni mgen wa hivi viwanja na akipangwa anacheza vizur tu
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
LIVE KUTOKA KAWE, TAMASHA LA WAFANYAKAZI NA WAFANYABIASHARA- BONIPHACE MWAMPOSA
LIVE KUTOKA BIAFRA. UZINDUZI WA KAMPENI ZA MGOMBEA UBUNGE KWA TICKET YA CCM ABBAS TARIMBA.
LIVE KUTOKA GHETTO, KUNA BINTI ANAPATA MIMBA ITAKAYOKATALIWA
Mimba itayokataliwa zipo nyingi,na zinazochoropolewa ni nyingi tu.LIVE KUTOKA KAWE, TAMASHA LA WAFANYAKAZI NA WAFANYABIASHARA- BONIPHACE MWAMPOSA
LIVE KUTOKA BIAFRA. UZINDUZI WA KAMPENI ZA MGOMBEA UBUNGE KWA TICKET YA CCM ABBAS TARIMBA.
LIVE KUTOKA GHETTO, KUNA BINTI ANAPATA MIMBA ITAKAYOKATALIWA