rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwani wakati wanasema goli liwe kona, au wanakataa magoli ya azam au walipotoa penati nje ya box na kadi nyekundu dhidi ya kagera mbona mlikuwa hamuongei ila Eymel alipowaambia hamjui mpira mko kama manyani na kubweka kama majibwa mkasema kawatukana kumbe alikuwa anawaambia ukweliMsimu huu naona marefa wameamua kutenda haki,mikia mtajuta