Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Tuta limeshapatikana tena kabla ya HT 😁, endelea kusubiriSalaaleee Kumbe Ndiyo ADA ya MIKIA eee.... Nalisubiri Tuta Kwa Hamu Baada Ya HT...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuta limeshapatikana tena kabla ya HT 😁, endelea kusubiriSalaaleee Kumbe Ndiyo ADA ya MIKIA eee.... Nalisubiri Tuta Kwa Hamu Baada Ya HT...
Kwa nini umtake Mugalu na sio Kagere au Ilamfya? Sasa kocha alazimike kufuata mfumo wako wa kuwapanga namba tisa wawili na wachezaji wazidi 11 uwanjani? Acheni ushambaTunamtaka Mugalu acheze tumwone kama ni namba tisa kweli.
Unaposema Chama na Boko ni strikers, hapo napata mashaka na uelewa wako wa soka, maana kocha anachezesha mfumo wa striker mmoja na ndio ambao kwa falsafa yake unamletea anachohitaji. Kwanza pale Chama sio striker, Pili huwezi kumlazimisha kocha atumie mfumo wako, maana huo mfumo unaoutaka ukifeli atakayewajibishwa ni kocha, sio wewe...tunategemea Chama na Boko tu upande wa striker ..!
Sio ushamba basi wasingemsajiri huyo Mugalu. Kama hatakiwi. Tulikuwa na shida ya namba tisa na kasajiriwa. Na anaishia benchiKwa nini umtake Mugalu na sio Kagere au Ilamfya? Sasa kocha alazimike kufuata mfumo wako wa kuwapanga namba tisa wawili na wachezaji wazidi 11 uwanjani? Acheni ushamba
Mkuu kuna strikers wanne, na wangekuwa watano kama dogo Cyprian Kipenye asingetolewa kwa mkopo. Lakini kwa idadi ya wachezaji wa uwanjani itakuwa kituko kuchezesha strikers wote wanneSio ushamba basi wasingemsajiri huyo Mugalu. Kama hatakiwi. Tulikuwa na shida ya namba tisa na kasajiriwa. Na anaishia benchi
Sio ushamba basi wasingemsajiri huyo Mugalu. Kama hatakiwi. Tulikuwa na shida ya namba tisa na kasajiriwa. Na anaishia benchi
Okwi + Kagere + Bocco = 50+goalsMkuu kuna strikers wanne, na wangekuwa watano kama dogo Cyprian Kipenye asingetolewa kwa mkopo. Lakini kwa idadi ya wachezaji wa uwanjani itakuwa kituko kuchezesha strikers wote wanne
Okwi alikuwa mara nyingi anacheza kama kiungo wa pembeni, sio kama striker, labda itokee Kagere au Bocco ameumiaOkwi + Kagere + Bocco = 50+goals
Mimi ni Mwana chama hai wa Simba na nachangia timu mara kwa mara, Namba tisa wa Kigeni ni lazima awe mzuri wa kuanza.hehehe we jamaa bhana yaaani unavopayuka kwa kusema kabisa 'tumemsajili' utadhani nawewe umechangia hata buku mbili tu kwenye ada ya mchezaji
Kaa utulie fuatilia ligi,acha kiherehere...anaishia benchi kwani umeambiwa ligi inaisha baada ya mechi mbili tu?!!!
Tatizo lako unataka kulinganisha. Dube sio namba tisa, striker wa Azam ni ChirwaMimi ni Mwana chama hai wa Simba na nachangia timu mara kwa mara, Namba tisa wa Kigeni ni lazima awe mzuri wa kuanza.
Unamuona Sapong na Prince Dube.
Unamkumbuka namba tisa Wilka Da Silva?Tatizo lako unataka kulinganisha. Dube sio namba tisa, striker wa Azam ni Chirwa
Zungumzia kikosi kilichopo, naona unapenda ligiUnamkumbuka namba tisa Wilka Da Silva?
kocha aache upambavu wa kumweka Bocco peke yake, timu inapata matokeo kwa kuchelewaOkwi alikuwa mara nyingi anacheza kama kiungo wa pembeni, sio kama striker, labda itokee Kagere au Bocco ameumia
Unamjua namba tisa MugaluZungumzia kikosi kilichopo, naona unapenda ligi
Implication yake ni kwamba kiungo mmoja akae bench, kati ya Chama, Miquissone au Morrisonkocha aache upambavu wa kumweka Bocco peke yake, timu inapata matokeo kwa kuchelewa