Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,288
- 2,075
UBARIKIWE MKUU[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UBARIKIWE MKUU[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hill swali nilishawahi kujiuliza sana kidogo leo umenipa mwanga. Nimekua nikiiangalia timu ya Argentina sioni mweusi ingawa wamepakana na Brazil kwa sehemu kubwa, na nchi nyingine zote za Amerika ya kusini kuna wachezaji weusi ila si kwao.
Baada ya jibu lako mujarab toa muongozo tukupigie makofi au tukutungie shairi?Acha maneno mengi wewee, mpongeze mleta mada. Hivi hujiulizi timu yetu ya taifa haina mweupe hata mmoja??
Nicolas maidana
Veron
N.k
Hao ni weupe?
Baada ya jibu lako mujarab toa muongozo tukupigie makofi au tukutungie shairi?
Lakin mbona sijaona sehemu umeitaja hiyo clabu hiyo ya Brazil kama mdau anavyo daiAsante,
Muda mwingine kichwa kinachakata kama kompyuta na kuleta errors.
Have you tried that kind of recipe?Tango and Argentinian beef..hapo 100%
Nilifanya marekebisho baada ya kukumbushwaLakin mbona sijaona sehemu umeitaja hiyo clabu hiyo ya Brazil kama mdau anavyo dai
SawaNilifanya marekebisho baada ya kukumbushwa
Mipango miji ni Grade A
Huwezi kupotea ukiwa maeneo ya namna hii.Mipango miji ni Grade A
Huwezi kupotea ukiwa maeneo ya namna hii.
Unanitania 😆Dar je? 🤣🤣🤣