niupuuzi tu " iwe nitaonekana sina akili " au nitaonekana ninazo it's non ur business"... kwa matendo haya yanayoendelea dhidi ya hizo dini na madhehebu yake " hakuna namna nyingine yakuweza kuyaita zaidi us upuuziUnafkir kwa kuita imani ya wengine 'Upuuzi' ndio itakufanya wewe uwe na akili sana?
Mm nafkir haukuwa na haja ya kutumia lugha ya namna hiyo.
Nipo nawe mia kwa mia ni upuuzi wa kushindania mamlaka ya kidunia.niupuuzi tu " iwe nitaonekana sina akili " au nitaonekana ninazo it's non ur business"... kwa matendo haya yanayoendelea dhidi ya hizo dini na madhehebu yake " hakuna namna nyingine yakuweza kuyaita zaidi us upuuzi
Mkuu shule ulizosoma wewe pekee ndio ulikuwa mwalimu na mwanafunzi hapo hapo,au vitabu au chochote ulichojifunza ulikiandaa mwenyewe.tuache ubinafsi vinginevyo uniambie kwamba huwa unaota tu usingizini vitu uvijuavyo au LA usingebisha wala kuchangia chochote.Elimu haimtafuti mtu bali elimu inatafutwa.
Hakuna kisicho na faida na dini ni njia tu ya watu kuwafunga na kuwatawala wengine,ni sawa na kuwatenganisha waarabu na uislam au ukristo na uzungu,ukomunisti na umashariki na kuendelea na kuendelea.na ndio maana kila siku magomvi kuzihusu hizi tamaduni kuu mbili hayaishi.ntabaki na ujinga wangu.Ukiona jambo linahusishwa na dini ujue hapo tamaduni haina nafasi.
Miongoni mwa malengo ya dini ni kuzirekebisha tamaduni,hii huwa kwa aidha kukubali jambo la tamaduni na likaingia katika dini au kulikemea jambo la utamaduni. Hii nimekupa faida.
Sasa unaposema au kuzungumzia Jamhuri ya Irani ujue unazungumzia dini na tamaduni haina nafasi. Dini ni bora kuliko tamaduni.
Ama kuhusu kabila,bro kabila halina nafasi zaidi ya kujuana tu na kufahamiana.
Tuite in tamaduni tofauti na uislam.Bro uko sahihi,na hapa natilia mkazo kwa maneno haya mafupi "Hakuna ibada yoyote ya mashia ikafanana na ibada ya waislamu". Huu ndio ukweli,kwa ufupi USHIA ni dini kando tofauti na uislamu.
afadhali" mkuu " nawewe kama umeliona hilo "...Nipo nawe mia kwa mia ni upuuzi wa kushindania mamlaka ya kidunia.
Mkuu yaani unavyoyajua mambo ya kurani umeshindwa kabisaa kujua kuran inasemaje kuhusu kuendesha magari kwa wanawake? Au kuangalia sinema na football vitu ambavyo Saudia imeruhusu?Bro hili liko wazi sana,nakupa kanuni siku zote wafalme wanapoingia katika miji huwa wanaiharibu isipokuwa wale wachache ambao wana dini.
Taifa la saudia linatawaliwa kifalme,kwanza inabidi ujue ufalme sio haramu wala sio dhambi.
Watawala hawa wana madhaifu yao hili linajulikana ila ukilinganisha na mataifa mengine ya kiislamu Saudia wanafata sheria ya uislamu hasa kuliko mengine.
Hilo la kuhusu wanawake kuruhusiwa kuendesha magari nimelisikia sana ila sikulifatilia kiundani,kama nikiamua kulifatilia,lazima nianze kutafuta majibu ya maswali haya :
1. Je uislamu unasemaje juu ya mwanamke kuendesha vipando ?
2. Kama wameruhusiwa,je hakuna taratibu walizowekewa ambazo hazitaleta muingiliano na wanaume na kuondoa stara ya wanawake ?
Sijui kwanza wewe mwenzangu maswali haya umejiuliza ?
Andika kwa kiswahili mkuu.HAAAAAAAAAAAAAAAAAAA u understand english BETTER than me yet you cant construct a single word in english
Mkuu mimi SHIA na ninaelewa kwamba nyinyi MASSUNI mmeamua kwa wazi kabisa kuacha taratibu za kidini kukubali kufata propaganda za makafiri wa magharibi.Bro uko sahihi,na hapa natilia mkazo kwa maneno haya mafupi "Hakuna ibada yoyote ya mashia ikafanana na ibada ya waislamu". Huu ndio ukweli,kwa ufupi USHIA ni dini kando tofauti na uislamu.
Mkuu haya Massuni yameamua kuungana na makafiri ya magharibi ili kujaribu kuzima ndoto za Mtume ..na ni kitu ambacho hakitawezekana kwa sababu Uislamu ( ulitilia ndani USHIA) utaendelea kusimama imara kabisa licha ya kupingwa vikali na makafiri ya ulaya na marekani lakini hoja zao hazitatimia kamwe.Write your reply...mtume hakuwa na mtoto wa kiume,common sense tu inakuelekeza ujue kuwa Ali ndo alikuwa successor,na ndo maana mtume alimwoza binti yake fatima,ajabu wakati mtume kafa kabla hata hajazikwa tayari akina umar,abubakar na wazee wa kikabila wakakaa kuchagua mrithi kinyume kabisa na maagizo ya mtume,mbaya zaid wakaproceed kuhakikisha wanaua family yote ya mtume,hawa leo eti wanajidai kuwahukumu shia kuwa sio waislamu,
Mkuu niliposema wasuni nilikuwa naakisi wasaudia, nikasema hii vita ya iran na saudia sio ya kidini ni vita ya kiuchumi iliyovalishwa sura ya kidini kwa maslahi ya watu/mataifa husika. Kwa sasa saudia ndio mnufaika namba moja kiuchumi wa uwepo wa uislamu duniani. Pia Iran ni jirani yake saudia. Lengo la iran ni kuhakikisha washia wanakuwa wengi na wenye nguvu ili baadae iran kwa mwanvuli wa ushia wadhibiti miji mitakatifu ya makka na madina na wapate hizo faida za kiuchumi. Ndio maana saudia anamuhofia zaidi iran kuliko hata israel na marekani. Kwa Saudia ni bora Israel amiliki nyuklia kuliko nduguye Iran. Na ndio sababu wanashindania kuidhibiti Yemen, Syria , Lebanon na Iraq ili kujiimarisha na kupandikiza vibaraka wao. Wakati Iran ananunua silaha kutoka urusi Saudia ananunua kutoka marekani.Wasunni wakose usingizi kisa washia sasa bro Kwani mtu akiwa mshia haendi kuhiji makka? Kama anaenda sasa athari ya kiuchumi kwenye hao mahujaji iwapi ikiwa hata washia nao huenda kuhijia makka? Mtu akiwa mshia anaenda kuhijj makka na atafanya umra makka pia sasa athari kwa saudia hapo n"nini?
Hivi niliposema elimu haimtafuti mtu ulinielewa bro ?Mkuu shule ulizosoma wewe pekee ndio ulikuwa mwalimu na mwanafunzi hapo hapo,au vitabu au chochote ulichojifunza ulikiandaa mwenyewe.tuache ubinafsi vinginevyo uniambie kwamba huwa unaota tu usingizini vitu uvijuavyo au LA usingebisha wala kuchangia chochote.
Hakuna kisicho na faida na dini ni njia tu ya watu kuwafunga na kuwatawala wengine,ni sawa na kuwatenganisha waarabu na uislam au ukristo na uzungu,ukomunisti na umashariki na kuendelea na kuendelea.na ndio maana kila siku magomvi kuzihusu hizi tamaduni kuu mbili hayaishi.ntabaki na ujinga wangu.
Mkuu wacha uwongo na upotoshaji wako mtume muhammad aliwahi kuwa na mtoto wa kiume ambaye naye hakuishi umri mrefu na ndiye mtt wa kiume pekee alipata kutoka kwa bi khadija na jina lake aliitwa IBRAHIM IBN MUHAMMAD sasa ww hiyo ya kutokuwa na mtt umeipata wapi?Write your reply...mtume hakuwa na mtoto wa kiume,common sense tu inakuelekeza ujue kuwa Ali ndo alikuwa successor,na ndo maana mtume alimwoza binti yake fatima,ajabu wakati mtume kafa kabla hata hajazikwa tayari akina umar,abubakar na wazee wa kikabila wakakaa kuchagua mrithi kinyume kabisa na maagizo ya mtume,mbaya zaid wakaproceed kuhakikisha wanaua family yote ya mtume,hawa leo eti wanajidai kuwahukumu shia kuwa sio waislamu,
Mkuu yaani unavyoyajua mambo ya kurani umeshindwa kabisaa kujua kuran inasemaje kuhusu kuendesha magari kwa wanawake? Au kuangalia sinema na football vitu ambavyo Saudia imeruhusu?
Hivi mkuu nikikwambia Saudia imerusu makanisa utakubali kweli? Au ukiambiwa Iraq kuna wakristo wengi sana utakubali? Tuwe huru kukubali vitu vinavyotokea hata kama hatuvipendi.
Huujui Ushia bro. Nina uhakika huo. Unavitabu vingapi vya asili vya kishia yaani unavyomiliki na umeshawahi kuvisoma ?Mkuu mimi SHIA na ninaelewa kwamba nyinyi MASSUNI mmeamua kwa wazi kabisa kuacha taratibu za kidini kukubali kufata propaganda za makafiri wa magharibi.
USHIA ndio mahala pekee ulipo uislamu wa kweli usiochafuliwa na nyinyi MASSUNI, Allah atakuja kuwa aibisha Siku ya kiama na sisi mujahedeen' tutaendelea kusonga ili kuutanga Uislamu ulio simama. [emoji3] [emoji3] [emoji112]
Mkuu haya Massuni yameamua kuungana na makafiri ya magharibi ili kujaribu kuzima ndoto za Mtume ..na ni kitu ambacho hakitawezekana kwa sababu Uislamu ( ulitilia ndani USHIA) utaendelea kusimama imara kabisa licha ya kupingwa vikali na makafiri ya ulaya na marekani lakini hoja zao hazitatimia kamwe.
Mkuu huo ni mtazamo wako na kwaniaba ya wanajopo wote walochangia mjadala huu natumia fursa hii kukuhakikishia kuwa TUMEUHESHIMU MTAZAMO WAKO KIKAMILIFU KABISA. But kama nilivyosema awali,mtazamo huo utabakia kuwa wako na wala hauwezi kutuathiri tukaacha kuitambuwa IRAN kama jamuhuri ya kiislam lkn pia mtazamo wako hauwez kuizuia IRAN kujiita hivyo.Mashia si ktk waislamu
Wameshatoka ktk uislamu cku nying
Hakuna ulamaa hata mmoja ambae anawatetea ktk maovu na uzushi wao
Nachokiona hapa mkuu umechukua upande. Na ukichukua upande mara nyingi ni ngumu kuwa nyutro. Nilikuwa nakukumbusha tu kuwa kauli yako kuwa Saudia ni nchi ya kiislam kuliko nyingine kwa msingi kuwa inaingozwa na sunni unaweza ukawa unapotoka. Pia mkuu tangu waruhusu wanawake waendeshe magari hukutaka kutafuta uhalali wao kidini mpaka hoja uikute JF? Hii inaonesha hakuna huo uhalali koz ungeshakutana nao.Hapo kabla hujazungumzia mipira na kuangalia masinema bali ulizungumzia kuendesha magari kwa wanawake. Elimu ni pana bro,kutokujua sio tatizo tatizo ni kutokujua kama hujui hili ndio balaa hasa.
Ama kuhusu mipira na filamu hili liko wazi na hili linajulikana kwao. Niliposema wafalme wakiingia katika miji huwa wanaiharibu hukunielewa ?
Bac kabishane na wanadhuoni akina ,fauzan,ibn bazi, utheimin,albanMkuu huo ni mtazamo wako na kwaniaba ya wanajopo wote walochangia mjadala huu natumia fursa hii kukuhakikishia kuwa TUMEUHESHIMU MTAZAMO WAKO KIKAMILIFU KABISA. But kama nilivyosema awali,mtazamo huo utabakia kuwa wako na wala hauwezi kutuathiri tukaacha kuitambuwa IRAN kama jamuhuri ya kiislam lkn pia mtazamo wako hauwez kuizuia IRAN kujiita hivyo.
Nirudie tena kukutoa khofu kuwa TUMEUHESHIMU MTAZAMO WAKO.
ASANTE SANA