Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Ajabu hiko wapi Mahdi ataondoa dhuluma na kuweka usawa , mpaka itafikia watu watakuwa wakwasi wa mali , sasa hii sio hukumu ?
 
Mbona umecopy vitu vingi ata kusoma ujasoma sasa mfano hapo kama unapinga,Abubakari anakuwaje Khalifa wakati kashindwa ata kumzika mtume na kukimbilia vyeo ? mtu wa namna hii wanini ?mambo ya kukopi na kupaste hapa hapana
 
Naona ukimya umetawala humu!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nimerudi mtaani napo kuna tuhitaji sema unataka nini , au nawewe ni mroho wa madaraka kama Abuubakar alieshindwa kushughulika na msiba akakimbilia madaraka , jitu limejaa tamaa na uroho wa madaraka , mtume alipokuwa hai alimganda lakini alipokufa ata kumzika imekuwa mtihani anawaza vyeo tu braza hamka shauri yako
 
Haha
Mbona umecopy vitu vingi ata kusoma ujasoma sasa mfano hapo kama unapinga,Abubakari anakuwaje Khalifa wakati kashindwa ata kumzika mtume na kukimbilia vyeo ? mtu wa namna hii wanini ?mambo ya kukopi na kupaste hapa hapana
Hahaha
 
Hizi dini zenu nazo zina shangaza ....ilikuwaje mpaka mtume wa Allah MTU ambaye tuna aminishwa kuwa alikuwa na maono akashindwa kujua kuwa abubakar ni opportunist..kitu ambacho kilikuja kujidhihirisha baada ya huyo mtume kufa ??
 
Sasa sheikh inakuwaje Allah anapinga kufufuka tena kabla ya qiyama wakati Muhammad alisema angependa ajitoe muhanga(kama al Qaeda) ili afe,arudi duniani kujitoa mhanga tena,afe arudi tena duniani ili kujitoa mhanga tena,afe arudi tena kujitoa mhanga kwasababu HAKUNA kitu kizuri kama jihad na kufa ukiwaua makafir
 
Japokuwa umenijibu kihuni kwa kauli yako ya mwisho. Sitakujibu kihuni,fatilia mitandaoni au endelea kuwauliza watu zaidi na zaidi.

Yaani sio lazima uende Tehran. Wewe komaa kama unataka kuujua ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wee mpumbavu si ueleze ueleweke kama unafaham sio kujimwambafya kijinga kijinga hivyo... Utakuwa muhaya ww kwa misifa hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongozi kwako ni bora kuliko kustiri mwili wa mtume ? unawezaje kufanya uchaguzi wakati ata huyo mtume aliekufundisha dini mwenyewe ajazikwa , acha kulea watu waroho wa madaraka
Jibu maswali niliyo kuuliza kwanza,kisha tuendelee. Usikimbie maswali.
 

Usilete dibaji kijana,nasubiri ushahidi hili swali halikwepeki kwako.
 
Aiseee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu, haya mambo hayahitaji hasira; jenga hoja yenye mashiko ili uthibitishe kile unachoamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hutaki kitu gani sasa kama mtume alitaka kuandika jambo kabla ya kufa lakini Omari akakataa kuleta kalamu ajabu iko wapi QURAN kuchezewa na hawa wahuni wakina Omari
Huna mpya, ushia tunaujua nje ndani

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Ajabu hiko wapi Mahdi ataondoa dhuluma na kuweka usawa , mpaka itafikia watu watakuwa wakwasi wa mali , sasa hii sio hukumu ?
Endelea kuamini uaminicho!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Mbona umecopy vitu vingi ata kusoma ujasoma sasa mfano hapo kama unapinga,Abubakari anakuwaje Khalifa wakati kashindwa ata kumzika mtume na kukimbilia vyeo ? mtu wa namna hii wanini ?mambo ya kukopi na kupaste hapa hapana
Kuna vitu vina nguvu sana katika uislam kuliko hata kumzika mtu hata hivyo swala la kuzika ni faradhi kifaya, wakifanya hata watu wawili tu waliobaki wote wanapata thawabu na lisipofanywa basi watu wote wanapata dhambi.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Sawa, ila kumbuka hao unaowatuhumu katika hadith zote wamepata radhi za Allah.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Chief acha kutucheza shere, hakuna kitu kama hicho ndani ya uislam, huku ukifa umekufa kufufuka kwako ni Kiyama na kusibiri hukmu, hao wanaoamini kwamba watakufa na kufufuka tena hao ni shia ambao wanaamini akija mahdi ndio watafufuka tena atawahukumu kwa haki.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Mimi sio muislam ila kutokana na michango na ushahid wa watu mbali mbali naona shia wako sawa pengine angepewa uongozi Ali uislam ungekuwa bora kuliko ulivyo sasa .Pia katika hali ya kawaida haiwezekan mtume aliyeleta dini amefariki huku watu wanafanya uchaguz na kumchagua kiongoz mwingine wakat hata hajazikwa inavyooneka abubakar na wenzie walikuwa opportunists kuliko ubinadam . Ali was a best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali dogo kwako: Je kama lingetokea tatizo lolote kwa wakati huo, ni nani angekiwa kiongozi wa umma wa kiislam?

NB:
Katika Uislam hakuna uongozi wa kifalme kama baba yako akifariki, ama kaka yako aliyekuwa ameshika uongozi akifariki wewe unarithi. Au kama ukiwa mtoto wa shekhe na baba yako akifariki we unashika madaraka.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Kwahyo Muhammad alikuwa anakosea kusema vile angetamani kufufuka?
 
Kwahyo Muhammad alikuwa anakosea kusema vile angetamani kufufuka?
Weka hapa ushahidi wa kuthibitisha hayo unayosema ili nikueleweshe, nabii Muhammad (S.A.A.W) hakuwa akiongea jambo bila ya kuwa na maana, faida kwayo.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…