Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Nilichokuuliza sicho ulichojibu, narudia tena, alibashiriwa pepo?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Ibilisi Aliingia peponi kabisa , yaani wewe unastaajabu utabiri !! au umekosa maswali ?ahaahhahahhahahha au unafikir Adam na hawa walidanganywa mwembe yanga
 
Ibilisi Aliingia peponi kabisa , yaani wewe unastaajabu utabiri !! au umekosa maswali ?ahaahhahahhahahha au unafikir Adam na hawa walidanganywa mwembe yanga
Hujajibu swali. Alibashiriwa pepo

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Hujajibu swali. Alibashiriwa pepo

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nimekwambia aliingia peponi , unataka ubashiri gani tena , tena alipoasi huko huko akapewa adhabu itakuwa huyu alietabiriwa ata kuingia bado halafu afanye UASI aachwe !!! unashangaza sana
 
Nimekwambia aliingia peponi , unataka ubashiri gani tena , tena alipoasi huko huko akapewa adhabu itakuwa huyu alietabiriwa ata kuingia bado halafu afanye UASI aachwe !!! unashangaza sana
Sikiliza we msujudia udongo wa Karbala. Sio kama sijui, naelewa vyote, usiwe unahororoja bure! Jibu swalo langu alibashiriwa pepo?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Sikiliza we msujudia udongo wa Karbala. Sio kama sijui, naelewa vyote, usiwe unahororoja bure! Jibu swalo langu alibashiriwa pepo?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Umekosa cha kuuliza unatapatapa kijana ahahahaha Ibilisi ALIINGIA kabisa peponi alipofanya UASI akatolewa kwenye rehema za Mungu , itakuwa huyu alietabiriwa afanye UASI aachwe ? hivi unafikir kwa kichwa kipi ahahahaahahaha
 
Mkuu uandishi haukuwa mzuri ila kongole umejitahidi kutueleza.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…