Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Mjinga ni wewe unayeleta ubaguzi wa Shia na Suni mpaka kujikuta unatoka nje ya mada.
 
Asante sana mkuu, umeelezea vizuri though
 
achana naye huyo anaijua Iran kwenye radio na TV Aki advance sana kwenye vijiwe vya kahawa na Google...
hapo atakuwa anakupiga mikwara tu..
angekuwa mjuaji angeenda direct
 
Wenyewe wanajiita Jamuhuri ya Kiislamu halafu wengine tukatae kwa sababu ya ubaguzi tu wa Usuni na Ushia,that's so crazy. Ni kama Catholics waseme Lutherans sio Wakristo,kazi ya ku judge aachiwe Mungu(for believers).
Ndiyo walivyofundishwa kuwa shiha siyo waislamu na sisi inabidi tukubali ili tusiwakwaze
 
-Ndiyo, mfano Saudia ana mgogoro na Iran hasa kwenye masuala ya Yemen

-Nijuavyo mimi, Washia ni jamii ya Waislam pamoja na wa-Sunni. Wanatofautiana kwenye baadhi ya mambo ila wote ni waislam.
Bro ulimwengu huu ukweli haujulikani na watu wenge isipokuwa wale ambso Allah amewarehemu.

Katika mambo ya kielimu hutakiwi kusema "Nijuavyo mimi....". Unatikiwa ujue uhalisia wa mambo kama wakubwa wako katika elimu wanavyoujua,yaani unatakiwa uujue ujweli halisi.

Kuna swali nataka nikuulize,umetumia vyanzo gani kujua ya kuwa Ushia ni jamii ya waislamu ?
 
Braza umeyatembelea lakini haujawahi kufika Iran.. Embu tulia uandike vizuri
 
Nijuavyo mimi kwa maana ya elimu nliyonayo (though kidogo). Kuhusu vyanzo, mi sio muislamu ila ndugu zangu wengi ni Waislamu (sio wa Bakwata).. Sijawahi kuona msikiti wa Washia na Wasunni. Wote wanasali pamoja
 
Jamhuri ya kiislaam ya watu wa Iran
 
Asante sana kwa darasa walahi
 
NA ISRAEL NI USA NA USA NI EUROPE
Ushirikiano wa wadhungu ni kitu cha kuigwa walahi!
That’s all
 
Write your reply...ukiona muislam anang'ang'ana eti sijui washia sio waislamu ujue huyo ni wale wavaa surual fupi a.k.a wahabia,na ukiwa karibu nae huyo ukae nae kwa makini sana,maana hawa ni hardliner,hachelewi kukufyeka kichwa au kujilipua,na huo ndo ujinga walio nao baadhi ya hawa extremist
 
Nijuavyo mimi kwa maana ya elimu nliyonayo (though kidogo). Kuhusu vyanzo, mi sio muislamu ila ndugu zangu wengi ni Waislamu (sio wa Bakwata).. Sijawahi kuona msikiti wa Washia na Wasunni. Wote wanasali pamoja
Ukifika muda wa swala, kama ni mgeni, anaingia msikiti wowote na unaswali"

ni mambo machache yanayotofautiana ktk swala zinazosaliwa na shia\sunni. Lakini haziondoi uhalali wa mwingine kuswali ktk msikiti mwingine. Kilicho tofauti ni mapokeo tu, kutoka kwa maimaam waliopita, lakini quraan ni ile ile haibadiliki.
 
Upo kinyume na ukweli. Onyesha uislamu wa Ushia uko wapi ?
 
Bro kuvaa suruali fupi ni dhambi ?
 
Write your reply...kwa ufupi iran iko na history ndefu mno mtu kukuelezea bora ufanye reseach mwenyewe tu,kwa mambo ya military hebu nikupe hii link uifuate mwenyewehttps://defence.pk/pdf/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fi.pinimg.com%2Foriginals%2Fe4%2Fdc%2Fc4%2Fe4dcc4de6509e20a1f1b18cd68bd66fd.jpg&hash=ebace7e7001f53b4d0742e1b46ed61ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…