The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Huna lolote,unakimbia swaliKwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.
Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kwenye maandishi mekundu, Jibu ni NDIO.Salaam wakuu
Natambua kabisa kuwa JF iko na utajiri wa wajuvi wa mambo katika kada zote za maisha. Kijana wenu naomba kujuzwa haya machache yanayonitatiza kuhusu muundo wa serikali ya Iran.
Mosi, natambua kuwa Iran ni jamhuri ya Kiislamu, je kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko kiongozi wa kisiasa wa Iran(rais)?
Pili, Iran haijawahi kupigana vita na Israel, nini chanzo cha uhasama wake na taifa hilo la Wayahudi (Israel)?
Tatu, Kwa nini Israel haitaki kabisa kuiona Iran ikiwa na ngome imara huko SYRIA?
Shukrani, tupe jibu la pili Israel na Iran wanagombania nini?hapo kwenye maandishi mekundu, Jibu ni NDIO.
Kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko kiongozi wa kisiasa (raisi). Wakati raisi wa Iran Mahmoud Ahmadnejad akigombea awamu ya pili, wananchi waliandamana akidai ameiba kura, hivyo uchaguzi. Kiongozi mkuu wa kidini Ayatollah Khamenei alitoa tamko kwamba matokeo ni halali na wananchi inabidi wakubaliane na matokeo, na habari ikaishia hapo hapo. Ahmadnejad akaendelea kuongoza muhula wa pili,.
Wahabiyuun mna shida sana, kuwatukana na kuwavunjia heshima waislamu wenzenu mnaona ufahari. Ugaidi umeshamiri duniani kwa sababu ya itikadi za namna hiiBro humjui mshia wewe,mashia wana kitu kinaitwa Taqiyya na ukitaka kuwajua mashia soma vitabu vyao vya asili. Unaijua dola ya Swafawiyya ?
Hakuna hapa duniani dola inayofata uislamu na kuusimamia kuliko saudia.
Sitaki kuleta mjadala ndani ya mjadala ila nimekupa akiba ya maneno na ziada yake.
THE GOOOD THING WITH ME IS THAT I HAVE EMOTIONAL INTELLIGENCEWee jamaa unapropaganda sijawahi kusikia. Eti Taifa lenye nguvu za silaha Israel,ha ha ha. Propaganda tupu hizo ndugu yangu. Bila US,kesho yake Israel inachakazwa. Ndiyo maana ya zile kura za turufu ili kuikingia kifua.
My freand its only this islamic names are to me tough to memorize, but all in all shukran mkuuHASSAN NASRALLAH
SAY WHICH SIDE I AM LEANING ON SIR, AND ASLO GIVE REASONS AS TO WHY POINTING OUT ANY ERROR I HAVE MADE OR ANY MISTAKE; LIES I HAVE WRITTEN, blessingsUlivyoandika unaonekana mlengo wako ulipo.
Andika kwa lugha yetu adhimu ya kiswahiliSAY WHICH SIDE I AM LEANING ON SIR, AND ASLO GIVE REASONS AS TO WHY POINTING OUT ANY ERROR I HAVE MADE OR ANY MISTAKE; LIES I HAVE WRITTEN, blessings
Asante sana mkuu, nasukuru sana kama taarifa yangu imekuwa msaada kwako, yes nimetembea mbara zote duniani isipokuwa tu australia, ambapo natarajia kwenda next year 2019, enjoy your weekendhongera sana kwa kufikia Syria brother.
huwa nakuwa admired sana na watu waliotembelea katika mataifa ya aina kama Syria. napenda wawe wanatupa experience yao badala ya kusikia habari toka CNN na BBC
sir why not go to evening clases and learn ENGLISH PLSAndika kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili
Acha kuwa mtumwa kijana kiinglish kisikuzuzue, nakifahaamu pengine kuliko hata wewe zuzusir why not go to evening clases and learn ENGLISH PLS
Acha ushamba, atajuaje lugha zingine bila kuzitumia sasa.Andika kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili
shukrani sana. god bless you. pls don't forget to share your trip experience when your are in australia. safe journey.Asante sana mkuu, nasukuru sana kama taarifa yangu imekuwa msaada kwako, yes nimetembea mbara zote duniani isipokuwa tu australia, ambapo natarajia kwenda next year 2019, enjoy your weekend
Mkuu utaanzisha mjadala mwingine hapaWahabiyuun mna shida sana, kuwatukana na kuwavunjia heshima waislamu wenzenu mnaona ufahari. Ugaidi umeshamiri duniani kwa sababu ya itikadi za namna hii
HAAAAAAAAAAAAAAAAAAA u understand english BETTER than me yet you cant construct a single word in englishAcha kuwa mtumwa kijana kiinglish kisikuzuzue, nakifahaamu pengine kuliko hata wewe zuzu
Kweli kabisa na ndio israel haiwezi kabisa ruhusu iran kuwa na wanajeshi hapo syria, kaa utafuatilia taarifa utagundua kuwa israel kila mara inapiga bomb kambi za syria ambazo israel inajua kuna wana iran wanajeshi.Asante mkuu, kwa maana hiyo kumbe Iran anaweza kutumia Syria kama sehemu ya kuishambulia Israel kutokea?
Numuona Khamenei kwako.Wahabiyuun mna shida sana, kuwatukana na kuwavunjia heshima waislamu wenzenu mnaona ufahari. Ugaidi umeshamiri duniani kwa sababu ya itikadi za namna hii
Sijakuelewa!Numuona Khamenei kwako.