Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Naipenda JAMHURI YA KIISLAMU YA WATU WA IRANI sababu msimamo wao wa kutoteteleka na U.S na anasonga mbele maisha yanaenda.
You Tube,Facebook, Instagram, WhatsApp, YouTube nakadhalika kule hakuna.
NAIPENDA NA NIMEIPENDA NA NITAIPENDA JAMHURI YA KIISLAMU YA WATU WA IRANI.Na sisi Muslims wote tuwaige wairani kwa umoja wao bila kutengana.
 
Kiongozi wa wa kidini wa Iran kwa sasa Ayatullah Khamenei ndio mwenye mamlaka makubwa kiutawala/kidini kuliko Raisi wa irani.

Ugomvi wa Iran na Israel unatokana na Israel kuikalia kimabavu ardhi ya Palestine.

Israel haitaki Iran iimarishe ngome yake kijeshi nchini Syria kwa sababu wanaona ni tishio kwao kiusalama na hawataki Iran ijiimarishe kimataifa.
 
Kwanza hujajibu swali. Sababu nataka kuokoa muda na kukusaidia. Jua ya kuwa si Jamhuri ya Kiislamu. Sasa kuhusu kujua ni Jamhuri ya nini ni jukumu lako kufatilia kama ukivyofatilia na kuona ya kuwa ni Jamhuri ya Kiislamu.

Kama hujufatilia na umesema kama visemavyo vyombo vya habri,hilo ni tatizo lako na unatakiwa uanze sasa kufatilia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
umekuja kujibu au kujigamba?haya asante
 
Naipenda JAMHURI YA KIISLAMU YA WATU WA IRANI sababu msimamo wao wa kutoteteleka na U.S na anasonga mbele maisha yanaenda.
You Tube,Facebook, Instagram, WhatsApp, YouTube nakadhalika kule hakuna.
NAIPENDA NA NIMEIPENDA NA NITAIPENDA JAMHURI YA KIISLAMU YA WATU WA IRANI.Na sisi Muslims wote tuwaige wairani kwa umoja wao bila kutengana.
Kinachowakera US kwamba Iran wanaishi maisha yao hawataki kufuatilia matakwa ya kidunia na sheria za UN kitu anbacho pia US wanagombana na NK i.e North Korea
 
Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.

Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?

Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.

Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?

Ukinijibu maswali haya machache na rahisi sana. Kuna mwongozo nitakupa,lazima tuwe na tabia ya kuchakarika katika kuutafuta ukweli.
Nilijuwa tu!!!!! Shia, Sunni, Ibadhi, Bohora..............
 
Afanye research kujitosheleza Kama Iran Ni taifa la kiislam ama la atumie njia gani Sasa, iwapo njia za kawaida (Google) na nyenginezo wanamwambia jamhuri ya kiislam, Ni muhimu ungemuelekeza njia hizo ulizotumia wewe,naye azifuate ili agundue Iran Ni taifa la washenz na si la kidini....Kama unavyotuaminisha....vinginevyo tutajua Ni porojo tu unaongea....
mbona kama mnatoa posa.
 
Wacha nikujibu maana mimi ni mtu nilieyetembea hao mataifa ya israel na syria na pia najua mengi kuhusu iran ila sijawi fika hapo- kwanza ndio kiongozi wa iran wa ndini ayatollah ana nguvu na mamulaka zaidi ya raisi wa taifa la iran,kama hata bunge likipitisa sheria asipoweka sahini signature huyu ayatollah kiongozi wa deni hio sheria haitakuwa sheria. kuhusu nini shinda ya israel na iran, hizi taifa 2 hazijawahi kupigani ila chuki ya wana iran kwa wayahudi israel ni ya kuwa wao iran ni waislamu na israel ni wayahudi na hivyo klla mara iran inapiga kelele death to israel, wanaita israel the small satan , na pia hao iran ndio wanapatia hela wale magaidi wako lebanon ambao wanaitwa HEZBOLLAH, na hao magaidi wanarusha makombora hadi israel kiongozi wao anaitwa NASHRAH. la 3 sababu iran ni adui wa isreal ndio israel haiwezi ruhusu iran iweke zana zake za kivita hapo syria, maana nia ya iran ni kuiangamiza wana israel, na ndio sababu kamwe isreal haitakubali kamwe iran iweke watu wake hapo syria, na israel tayari imeua wana iran wengi sana wanajeshi ambao walikuwa wako hapo syria.kumbuka taifa lenye uwezo mkubwa zaidi wa kijeshi duniani ni----ISRAEL. nafikiri nimekujibu ya kutosha, kaa hujatoseka uliza tu kila hujaelewa mkuu, baraka tele.
hongera sana kwa kufikia Syria brother.

huwa nakuwa admired sana na watu waliotembelea katika mataifa ya aina kama Syria. napenda wawe wanatupa experience yao badala ya kusikia habari toka CNN na BBC
 
HALAFU MJUE HIZI NI TAMADUNI NA KABILA KABISA ZA WATU JAPO NINYI MMEZIFUNIKA KWA JINA LA DINI.MSISAHAU HILI,NIMA MPARE NA MGWENO TU.
 
Nashangaa mpaka sasa hivi huyu Comred wangu huu Uzi hajaona kweli au ndio ana kata miwa huko shambani...?
JAMII FORUM INATAKA WATU WANAOJUA NA WANAOWEZA KUWAJUZA WENGINE SIO MIKWALA NA MAJIGAMBO HAMJUI HUMU KUNA MPAKA WATU WA DARASA LA SABA SASA HAO WATAPAJE TAARIFA ZA KINA BILA KUPATA MANGULI WA UFAFANUZI AACHE UBINAFSI.
 
Ukifika muda wa swala, kama ni mgeni, anaingia msikiti wowote na unaswali"

ni mambo machache yanayotofautiana ktk swala zinazosaliwa na shia\sunni. Lakini haziondoi uhalali wa mwingine kuswali ktk msikiti mwingine. Kilicho tofauti ni mapokeo tu, kutoka kwa maimaam waliopita, lakini quraan ni ile ile haibadiliki.
Lengo langu si kuleta mtafaruku isipokuwa ni kutanabaisha hii ikhtilafu iliyopo baina ya hii mada.

Shia katika sala, sala yao huwa tofauti na Sunni kuanzia katika adhana, udhu, qibla na sala.

Kuhusu Qur'an Shia wanasema Qur'an wanayotumia Sunni haijakamilika na wana mas' hafu yao wakati Sunni wanasema Qur'an wanyoitumia imekamilika.

Shia kwao Muhammad s.a.w hakustahili Utume Bali Utume ulikuwa ni haki ya Ally wakati Sunni Muhammad ni Mtume na Ally ni sahaba.

Qibla cha kusalia cha Sunni kipo Makkah Saudi Arabia wakati Shia kipo Karbala Iraq.

Shahada kwa Sunni zipo mbili kwa Shia zipo tatu.

Hayo ni baadhi ambayo Sunni na Shia wanatofautiana. Muhimu ni kuelimishana kama kweli imethibiti mmoja wao hayupo sahihi na wala si kudharauliana au kukejeliana kwani hayo ya kudharauliana au kutoa lugha kali, chafu, Mtume ameyakataza na Qur'an vilevile imekataza.

Ndani ya Sunni vilevile kuna ikhtilafu kuna Salafi ambao wanawaambia wenzao katika wao ninyi ni watu wa bida'a( waliyozusha mambo katika dini) na wengine katika wao wanawaambia ninyi ni waharibifu katika dini.
 
Wacha nikujibu maana mimi ni mtu nilieyetembea hao mataifa ya israel na syria na pia najua mengi kuhusu iran ila sijawi fika hapo- kwanza ndio kiongozi wa iran wa ndini ayatollah ana nguvu na mamulaka zaidi ya raisi wa taifa la iran,kama hata bunge likipitisa sheria asipoweka sahini signature huyu ayatollah kiongozi wa deni hio sheria haitakuwa sheria. kuhusu nini shinda ya israel na iran, hizi taifa 2 hazijawahi kupigani ila chuki ya wana iran kwa wayahudi israel ni ya kuwa wao iran ni waislamu na israel ni wayahudi na hivyo klla mara iran inapiga kelele death to israel, wanaita israel the small satan , na pia hao iran ndio wanapatia hela wale magaidi wako lebanon ambao wanaitwa HEZBOLLAH, na hao magaidi wanarusha makombora hadi israel kiongozi wao anaitwa NASHRAH. la 3 sababu iran ni adui wa isreal ndio israel haiwezi ruhusu iran iweke zana zake za kivita hapo syria, maana nia ya iran ni kuiangamiza wana israel, na ndio sababu kamwe isreal haitakubali kamwe iran iweke watu wake hapo syria, na israel tayari imeua wana iran wengi sana wanajeshi ambao walikuwa wako hapo syria.kumbuka taifa lenye uwezo mkubwa zaidi wa kijeshi duniani ni----ISRAEL. nafikiri nimekujibu ya kutosha, kaa hujatoseka uliza tu kila hujaelewa mkuu, baraka tele.
Ulivyoandika unaonekana mlengo wako ulipo.
 
Wacha nikujibu maana mimi ni mtu nilieyetembea hao mataifa ya israel na syria na pia najua mengi kuhusu iran ila sijawi fika hapo- kwanza ndio kiongozi wa iran wa ndini ayatollah ana nguvu na mamulaka zaidi ya raisi wa taifa la iran,kama hata bunge likipitisa sheria asipoweka sahini signature huyu ayatollah kiongozi wa deni hio sheria haitakuwa sheria. kuhusu nini shinda ya israel na iran, hizi taifa 2 hazijawahi kupigani ila chuki ya wana iran kwa wayahudi israel ni ya kuwa wao iran ni waislamu na israel ni wayahudi na hivyo klla mara iran inapiga kelele death to israel, wanaita israel the small satan , na pia hao iran ndio wanapatia hela wale magaidi wako lebanon ambao wanaitwa HEZBOLLAH, na hao magaidi wanarusha makombora hadi israel kiongozi wao anaitwa NASHRAH. la 3 sababu iran ni adui wa isreal ndio israel haiwezi ruhusu iran iweke zana zake za kivita hapo syria, maana nia ya iran ni kuiangamiza wana israel, na ndio sababu kamwe isreal haitakubali kamwe iran iweke watu wake hapo syria, na israel tayari imeua wana iran wengi sana wanajeshi ambao walikuwa wako hapo syria.kumbuka taifa lenye uwezo mkubwa zaidi wa kijeshi duniani ni----ISRAEL. nafikiri nimekujibu ya kutosha, kaa hujatoseka uliza tu kila hujaelewa mkuu, baraka tele.
HASSAN NASRALLAH
 
HALAFU MJUE HIZI NI TAMADUNI NA KABILA KABISA ZA WATU JAPO NINYI MMEZIFUNIKA KWA JINA LA DINI.MSISAHAU HILI,NIMA MPARE NA MGWENO TU.
Ukiona jambo linahusishwa na dini ujue hapo tamaduni haina nafasi.

Miongoni mwa malengo ya dini ni kuzirekebisha tamaduni,hii huwa kwa aidha kukubali jambo la tamaduni na likaingia katika dini au kulikemea jambo la utamaduni. Hii nimekupa faida.

Sasa unaposema au kuzungumzia Jamhuri ya Irani ujue unazungumzia dini na tamaduni haina nafasi. Dini ni bora kuliko tamaduni.

Ama kuhusu kabila,bro kabila halina nafasi zaidi ya kujuana tu na kufahamiana.
 
JAMII FORUM INATAKA WATU WANAOJUA NA WANAOWEZA KUWAJUZA WENGINE SIO MIKWALA NA MAJIGAMBO HAMJUI HUMU KUNA MPAKA WATU WA DARASA LA SABA SASA HAO WATAPAJE TAARIFA ZA KINA BILA KUPATA MANGULI WA UFAFANUZI AACHE UBINAFSI.
Elimu haimtafuti mtu bali elimu inatafutwa.
 
Lengo langu si kuleta mtafaruku isipokuwa ni kutanabaisha hii ikhtilafu iliyopo baina ya hii mada.

Shia katika sala, sala yao huwa tofauti na Sunni kuanzia katika adhana, udhu, qibla na sala.

Kuhusu Qur'an Shia wanasema Qur'an wanayotumia Sunni haijakamilika na wana mas' hafu yao wakati Sunni wanasema Qur'an wanyoitumia imekamilika.

Shia kwao Muhammad s.a.w hakustahili Utume Bali Utume ulikuwa ni haki ya Ally wakati Sunni Muhammad ni Mtume na Ally ni sahaba.

Qibla cha kusalia cha Sunni kipo Makkah Saudi Arabia wakati Shia kipo Karbala Iraq.

Shahada kwa Sunni zipo mbili kwa Shia zipo tatu.

Hayo ni baadhi ambayo Sunni na Shia wanatofautiana. Muhimu ni kuelimishana kama kweli imethibiti mmoja wao hayupo sahihi na wala si kudharauliana au kukejeliana kwani hayo ya kudharauliana au kutoa lugha kali, chafu, Mtume ameyakataza na Qur'an vilevile imekataza.

Ndani ya Sunni vilevile kuna ikhtilafu kuna Salafi ambao wanawaambia wenzao katika wao ninyi ni watu wa bida'a( waliyozusha mambo katika dini) na wengine katika wao wanawaambia ninyi ni waharibifu katika dini.
Bro uko sahihi,na hapa natilia mkazo kwa maneno haya mafupi "Hakuna ibada yoyote ya mashia ikafanana na ibada ya waislamu". Huu ndio ukweli,kwa ufupi USHIA ni dini kando tofauti na uislamu.
 
Back
Top Bottom