Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Jamhuri ya Kiislam ya Iran

Rise of the Abbasid Empire (c. 750 CE)
The Umayyad dynasty was overthrown
by another family of Meccan origin, the
Abbasids, in 750 CE. The Abbasids
distinguished themselves from the
Umayyads by attacking their moral
character and administration. In
particular, they appealed to non-Arab
Muslims, known as mawali, who
remained outside the kinship-based
society of the Arabs and were
perceived as a lower class within the
Umayyad empire. The Abbasid dynasty
descended from Muhammad ‘s
youngest uncle, Abbas ibn Abd al-
Muttalib (566–653 CE), from whom the
dynasty takes its name. Muhammad
ibn ‘Ali, a great-grandson of Abbas,
began to campaign for the return of
power to the family of Muhammad, the
Hashimites, in Persia during the reign
of Umar II, an Umayyad caliph who
ruled from 717–720 CE.

Iraq, 765 CE
Power in Baghdad
The Abbasids moved the empire’s
capital from Damascus, in modern-day
Syria, to Baghdad, in modern-day Iraq,
in 762 CE. The Abbasids had depended
heavily on the support of Persians in
their overthrow of the Umayyads, and
the geographic power shift appeased
the Persian mawali support base. Abu
al-‘Abbas’s successor, Al-Mansur,
welcomed non-Arab Muslims to his
court. While this helped integrate Arab
and Persian cultures, it alienated the
Arabs who had supported the
Abbasids in their battles against the
Umayyads. The Abbasids established
the new position of vizier to delegate
central authority, and delegated even
greater authority to local emirs. As the
viziers exerted greater influence, many
Abbasid caliphs were relegated to a
more ceremonial role as Persian
bureaucracy slowly replaced the old
Arab aristocracy.
The Abbasids, who ruled from
Baghdad, had an unbroken line of
caliphs for over three centuries,
consolidating Islamic rule and
cultivating great intellectual and
cultural developments in the Middle
East in the Golden Age of Islam. By 940
CE, however, the power of the
caliphate under the Abbasids began
waning as non-Arabs gained influence
and the various subordinate sultans
and emirs became increasingly
independent.
Mkuu umeongelea hapo kuhusu nonArab Muslims. Kuna yule shehe mkuu wa wahabia anawaita non-Arab Mslims mbwa kwasababu tu kusilimu kwao kulitokana na upanga siyo hiari yao.
 
Bro humjui mshia wewe,mashia wana kitu kinaitwa Taqiyya na ukitaka kuwajua mashia soma vitabu vyao vya asili. Unaijua dola ya Swafawiyya ?

Hakuna hapa duniani dola inayofata uislamu na kuusimamia kuliko saudia.

Sitaki kuleta mjadala ndani ya mjadala ila nimekupa akiba ya maneno na ziada yake.

Mi sioni wanachokifuata saudia kufuata uislamu kisawasawa,sababu mwaka huu wanawake saudia wameruhusiwa kuendesha magari,kumiliki account bank nakadhalika umekichukuliaje hili mkuu.
Allah ni mjuzi zaidi yetu.
 
Saudi Arabia ndio kijana wa Sunni na Iran ndiye kinara na promoter wa Shia duniani. Iran inatumia pesa nyingi sana kuhakikisha ushia unaenea duniani na hasa kuwabadili wasunni kuwa washia imefikia hatua kwa ufadhili wa Iran misikiti ya mashia inajengwa na kunakuwa na mgao wa pesa kwa watu wote wanaosali hapo kila baada ya swala ya ijumaa. Jambo hili linaukosesha usingizi wasunni na hasa Saudi Arabia ambaye ni mnufaika mkuu( kiuchumi) wa uislamu kupitia utalii, hija, umrah nk. Kwaiyo ni vita ya kiuchumi iliyobeba taswira ya vita ya kidini.
Hata sasa Saudia anatamani Israel/usa waivamie Iran na kuiteketeza kabisa.
Wasunni wakose usingizi kisa washia sasa bro Kwani mtu akiwa mshia haendi kuhiji makka? Kama anaenda sasa athari ya kiuchumi kwenye hao mahujaji iwapi ikiwa hata washia nao huenda kuhijia makka?

Mtu akiwa mshia anaenda kuhijj makka na atafanya umra makka pia sasa athari kwa saudia hapo n"nini?
 
achana naye huyo anaijua Iran kwenye radio na TV Aki advance sana kwenye vijiwe vya kahawa na Google...
hapo atakuwa anakupiga mikwara tu..
angekuwa mjuaji angeenda direct
hahahaa
 
itakuwa umeniquote vibaya akhy wangu sijasema mm hvyo akhy fuatilia comment viziri
kwa mfano mm ukiniuliza wewe ni msunni au mshia na mm nitaleta za uswahili badala ya jibu nitaleta swari nami nakuuliza mtume alikuwa dhehebu gani ?ukikosa jibu naachana na wwewe mana nakuona bendera fata upepo badala kufata QURAN na SUNNAH alotuachia mtume

mtume katuachia QURAN na SUNNAH sio Usunni wala ushia hvyo kumtenga au kumsema vibaya muislam mwenzio au kumtoa katika uislam kisa msunn au mshia huo ni unafiq mkubwa

halafu mara kumi kumshabikia muirani mshia anayewapenda waislam wenzake kuliko kumshabikia msunni mnafiki Saudia aneyebomoa waislam wenzie kuwatenga waislam wenzake na kuwakumbatia makafili wenye nia ya kuusambalatisha uislam
Haya mambo ya kidini yanahitaji elim tena elim ya dini kwelikweli. Hiyo qur'an na sunnah yenyewe inavyofundishwa na ushia ni tofauti na inavyofundishwa na wasunni. Vyovyote utavyosoma ni eidha iwe unasoma kishia au kisunni au kiahmadiyya au kiquraniyyun au vipi. Mtume hakuwa na dhehebu hii haina maana eti wewe hauna dhehebu. Mtume anasema tuswali kama yeye anavyosali je mtume aliswali vipi? Hapo utakuta wasunni wanayonamna yao na washia pia na madhehebu mengine pia na wote wanaclaim hivi ndivyo aliswali mtume, wewe unafuata ipia hapo? Utakuta hiyo namna yako uliyosomeshwa kwamba mtume aliswali hivi kwa wenzako wamefundishwa kinyume na wameambiwwa hivi ndivyo aliswali mtume.

Katika uislamu unlike christianity madhehebu yanatokana na eidha tofauti za kiitikadi au tafauti za kifiqihi. Tofauti za kiitikadi ndio hizi zinazoleta ushia, usunni uahmadiyya nk nk wkt tofauti za kifiqihi ni ndogo nazo zinagawanya hizi madhehebu kubwa pia. Mfano katika usunni kuna madhehebu nne zinazotokana na tofauti za kifiqihi.

Hapa inabidi elim kidogo ambayo mm sina kuweza kujua inakuwaje waislamu wa sasa wana madhehebu na hali ya kuwa mtume hakuwa nayo. Nafkiri kwa uchache wa uwezo wangu niishie hapa
 
huruma wapi wewe?
unaonekana mbinafsi.. et "Nimeingia na huruma ya ki elimu"

halafu ulivyokuwa hujuh UMESHINDWA tambua kuwa ndani ya uislamu kuna madhehebu as ukristo ulivyo na madhehebu yake eg.roman Lutheran etc
hao shia wapo ndani ya uislamu.
na itikadi zao zpo different sana na Hawa wa kawaida...ambao ni madhehebu mengine.
na ndiyo sababu kuu ya kuwa against na wenzao..mbona hapa bongo kuna wale wa shia aka wasuni.wao Wana taratibu zao ma ufika mbali ZAIDI hata kuipinga bakwata na Wana umoja wao na Sheria zao..but haijabadilisha wao kuwa waislamu...
kuna propaganda nyingi zinasemwa dhidi ya iran lakini ki uhalisia c za kweli..

ni kama Roman walivyo na itikadi tofauti na walokole na kufikia hatua ya kupingana but haibadilishi maana ya kuwa walkristo...
Mkuu inaonesha huna hata moja unalolijua katika uislam, jaribu kusoma na kufanya utafiti ili uwajue hao mashia na vilevile hao wanaoipinga bakwata sio kwa dhehebu kama unavyodhani ni matendo yao hao bakwata ndo kinachofanya hao bakwata watu wasiwakubali.
 
Mkuu inaonesha huna hata moja unalolijua katika uislam, jaribu kusoma na kufanya utafiti ili uwajue hao mashia na vilevile hao wanaoipinga bakwata sio kwa dhehebu kama unavyodhani ni matendo yao hao bakwata ndo kinachofanya hao bakwata watu wasiwakubali.
Fact
 
Nimeingiwa na huruma ya kielimu kwa mbali. Nataka nikupe ishara ya kukusaidia,kwa mtindo huu.

Hivi ushawahi kusikia mataifa ya kiislamu yaituhumu au yakiwa dhidi ya Irani ?

Kama hujawahi kuisikia basi vyanzo vyako vitakuwa vina dosari sana.

Iko wazi taifa la Irani liko chini ya USHIA. Je unaujua USHIA ?

Ukinijibu maswali haya machache na rahisi sana. Kuna mwongozo nitakupa,lazima tuwe na tabia ya kuchakarika katika kuutafuta ukweli.
Kwani Ushia sio Uislamu mkuu!?..
Halafu chanzo gani ulichonacho wewe kinasema Iran sio Jamhuri ya Kiislamu mbona mie kupitia Google inaniambia Iran ni Jamhuri ya Kiislamu!.
 
Saudi Arabia ndio kijana wa Sunni na Iran ndiye kinara na promoter wa Shia duniani. Iran inatumia pesa nyingi sana kuhakikisha ushia unaenea duniani na hasa kuwabadili wasunni kuwa washia imefikia hatua kwa ufadhili wa Iran misikiti ya mashia inajengwa na kunakuwa na mgao wa pesa kwa watu wote wanaosali hapo kila baada ya swala ya ijumaa. Jambo hili linaukosesha usingizi wasunni na hasa Saudi Arabia ambaye ni mnufaika mkuu( kiuchumi) wa uislamu kupitia utalii, hija, umrah nk. Kwaiyo ni vita ya kiuchumi iliyobeba taswira ya vita ya kidini.
Hata sasa Saudia anatamani Israel/usa waivamie Iran na kuiteketeza kabisa.
Aiseee " huwaga na waambia watu kuhusu hili lakini wanapinga " nawaambiaga kuwa hamuoni kwamba mmetengenezewa mikakati " yakuiona saudia kama nchi tukufu ili muende kudhuru halafu wao wapate kuongeza pato la taifa kupitia nyinyi " lakini ajabu huwa wananipinga
 
Kwani Ushia sio Uislamu mkuu!?..
Halafu chanzo gani ulichonacho wewe kinasema Iran sio Jamhuri ya Kiislamu mbona mie kupitia Google inaniambia Iran ni Jamhuri ya Kiislamu!.
Google sio chanzo maridhawa hasa ukikosa wapi pakupata habari sahihi.

Unajua kuna vitu huwa vinategemeana,yaani kimoja hakisimami bila ya kingine.

Irani nasema sio jamhuri ya kiislamu kutokana na itikadi na mienendo ya muasisi wa taifa hilo.

Muasisi wa taifa hilo ni mshia na Irani iko chini ya Ushia.

Sasa kama Ushia sio uislamu iweje taifa liwe la kiislamu ? Na kiongozi mwenye maamuzi ya mwisho ni yule kiongozi wamuitae wa kidini,wa sasa ni Ali Khamenei.

Bro google huwa ina faida ukijua wapi pakupata ukweli kupitia google,mathalani sisi huwa tunaitumia google kama njia,tukishapata marejeo tunayatafuta marejeo hayo kwenye sehemu husika,namaanisha vitabuni tena sio soft copy bali tunanunua nakala zenyewe za kushikika,elimu iko vitabuni.

Sijajua kama wewe ni muislamu au la,kama ni muislamu naweza nikakueleza kutokana na upeo wako ili kufikia nukta unayoitaka kwa haraka.

Kama sio muislamu bali unataka kujifunza na kuujua ukweli,safari yako kidogo itakuwa ndefu na nitatakiwa kwenda wewe taratibu ili nikate kiu yako.

Kwa hapa kwanza tosheka na machache haya.
 
Aiseee " huwaga na waambia watu kuhusu hili lakini wanapinga " nawaambiaga kuwa hamuoni kwamba mmetengenezewa mikakati " yakuiona saudia kama nchi tukufu ili muende kudhuru halafu wao wapate kuongeza pato la taifa kupitia nyinyi " lakini ajabu huwa wananipinga
Jambo hili halipo wala halitakuja kuwepo. Saudia ni jina jipya halikuwepo kabla na mipaka inajulikana kijiografia na utukufu wa miji inajulikana tangu na tangu.

Mashia wana hila asikwambie mtu.

Kwetu sisi utukufu hauletwi kwa kura za veto wala vikao vya watu kadhaa wala kwa tume au jopo la watu wa chache,utukufu wa jambo,mtu,kitu au miji kwa maana ya mahali ni kwa ufunuo kutoka kwa Allah aliyejuu na mtume wake amani ya Allah imfikie.

Bro wa kuidhuru saudia kwa hakika hakuna na hatoweza hata wakuifitini.

Nakuuliza swali,hivi ushawahi kusikia saudia kumepiganwa vita ?

Hii ziada nakupa huwezi kuujua ukweli wa mambo kupitia vyombo vya habari hasa haya mataifa wala kupitia makala za wana habari. Kwa sababu kuna ukweli huwa unataka muda kuujua,yaani kutenga muda na kusoma hasa.
 
Google sio chanzo maridhawa hasa ukikosa wapi pakupata habari sahihi.

Unajua kuna vitu huwa vinategemeana,yaani kimoja hakisimami bila ya kingine.

Irani nasema sio jamhuri ya kiislamu kutokana na itikadi na mienendo ya muasisi wa taifa hilo.

Muasisi wa taifa hilo ni mshia na Irani iko chini ya Ushia.

Sasa kama Ushia sio uislamu iweje taifa liwe la kiislamu ? Na kiongozi mwenye maamuzi ya mwisho ni yule kiongozi wamuitae wa kidini,wa sasa ni Ali Khamenei.

Bro google huwa ina faida ukijua wapi pakupata ukweli kupitia google,mathalani sisi huwa tunaitumia google kama njia,tukishapata marejeo tunayatafuta marejeo hayo kwenye sehemu husika,namaanisha vitabuni tena sio soft copy bali tunanunua nakala zenyewe za kushikika,elimu iko vitabuni.
Kwani Google inasehemu wanapoandika yenyewe si inaniletea machapisho yote kuhusu nachotaka!.. Mfano mimi nikiuliza kuhusu Uislamu wa Shia na Sunni ikanipa maelezo yote toka origin halafu na wewe ukaja ukasema una maandiko tofauti nikakuuliza umeyapata wapi ukasema mtandaoni si itabidi tuanze kuverify sites ulizotembelea kwa kulinganisha na zangu!.
Tuanzie hapa Wewe ulipopata majibu google ukatafuta wapi hiyo 'kweli'?.. Sababu Shia vs Sunni kihistoria ni Tawi moja lililokataa kukubaliana kuhusu mambo fulani kama ilivyo Roman Catholic vs Orthodox Church!..
Halafu wewe ni nani kukataa Irani sio Islam State wakati Internationally inatambulika hivyo!?.. Sometimes mambo yenu ya migogoro ya kidini muibakize mkikutana misikitini, mkija huku nje mpiganie kitu kimoja.
 
hapo kwenye maandishi mekundu, Jibu ni NDIO.
Kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko kiongozi wa kisiasa (raisi). Wakati raisi wa Iran Mahmoud Ahmadnejad akigombea awamu ya pili, wananchi waliandamana akidai ameiba kura, hivyo uchaguzi. Kiongozi mkuu wa kidini Ayatollah Khamenei alitoa tamko kwamba matokeo ni halali na wananchi inabidi wakubaliane na matokeo, na habari ikaishia hapo hapo. Ahmadnejad akaendelea kuongoza muhula wa pili,.
aisee kweli imani imewajaa
 
Mi sioni wanachokifuata saudia kufuata uislamu kisawasawa,sababu mwaka huu wanawake saudia wameruhusiwa kuendesha magari,kumiliki account bank nakadhalika umekichukuliaje hili mkuu.
Allah ni mjuzi zaidi yetu.
Bro hili liko wazi sana,nakupa kanuni siku zote wafalme wanapoingia katika miji huwa wanaiharibu isipokuwa wale wachache ambao wana dini.

Taifa la saudia linatawaliwa kifalme,kwanza inabidi ujue ufalme sio haramu wala sio dhambi.

Watawala hawa wana madhaifu yao hili linajulikana ila ukilinganisha na mataifa mengine ya kiislamu Saudia wanafata sheria ya uislamu hasa kuliko mengine.

Hilo la kuhusu wanawake kuruhusiwa kuendesha magari nimelisikia sana ila sikulifatilia kiundani,kama nikiamua kulifatilia,lazima nianze kutafuta majibu ya maswali haya :

1. Je uislamu unasemaje juu ya mwanamke kuendesha vipando ?

2. Kama wameruhusiwa,je hakuna taratibu walizowekewa ambazo hazitaleta muingiliano na wanaume na kuondoa stara ya wanawake ?

Sijui kwanza wewe mwenzangu maswali haya umejiuliza ?
 
Back
Top Bottom