Sababu wanafanya Taqiyyah,pili huangaliwa maslahi bali kuna wakati huzuiwa kabisa kuingia.Kuna mahali nilikuuliza 'kama Mashia siyo Waislam kwa nini wanaruhusiwa kwenda Hija na kuingia Makka?'
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu wanafanya Taqiyyah,pili huangaliwa maslahi bali kuna wakati huzuiwa kabisa kuingia.Kuna mahali nilikuuliza 'kama Mashia siyo Waislam kwa nini wanaruhusiwa kwenda Hija na kuingia Makka?'
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku tatu zingetosha kumsitiri Mtume na taratibu za uchaguzi zingeendelea hivi nikupe mfano mdogo babaako amefariki wakati nyie mnaomboleza unamsikia baba yako mdogo ameweka kikao anajadili mgawanyo wa Mali za marehem wew utajiskiajeSwali dogo kwako: Je kama lingetokea tatizo lolote kwa wakati huo, ni nani angekiwa kiongozi wa umma wa kiislam?
NB:
Katika Uislam hakuna uongozi wa kifalme kama baba yako akifariki, ama kaka yako aliyekuwa ameshika uongozi akifariki wewe unarithi. Au kama ukiwa mtoto wa shekhe na baba yako akifariki we unashika madaraka.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Acha bangi kwa hiyo nyie mnavitabu vya Masuni? Kuna QURAN na hadithi za mtume akuna vitabu vya mashia huu ujinga ndio unamipoteza , kama utaki kuamini huo ujinga wakoNacheka sana. Inaonekana hata maana ya Ushia huijui,nakupa dondoo Mashia wana kila kitu chao mpaka vitabu vya hadithi wanavyo vyao wenyewe.
Hivi hujiulizi kwanini kumekuwepo na Ushia ? Unapotea muda kijana.
Kazi yangu nimemaliza.
Unawezaje kuwaza uchaguzi wakati mtume wa Mungu aliekufundisha hiyo dini bado ajastiriwa ? unataka tuongee lugha gani mtume alipokuwa hai Abubakar alimganda kila eneo alipoona amekufa tena ata ajazikwa yuko busy na madaraka , niambie wakati wanachaguana Ali alikuwa wapi ? alishirikishwa kwenye uchaguzi ? huu ni uchaguzi wa kihuni kabisa halafu unasema uchaguzi wa waislamu ahahahaha umeamua kuamini ujingaHujajibu swali bali unahoji kivivu. Nilikwambia ukiwa unajibu hayo maswali uweke na ushahidi,huna ushahidi kijana.
Halafu pili,unaweza kunipa ushahidi ya kuwa hawakuhudhuria ? Kijana ukiona nakupuuza ujue nimekuona mjinga.
Sababu la kuonyesha ushahidi wa kukiri shahada kwa Mashia huna,sasa nakuomba ushahidi unaoonyesha ya kuwa maswahaba hao hawkuhudhuria maishi ya mtume.
Ni tamaa mkuu alipokuwa hai walimganda alipokufa akili zao wanawaza madaraka tu , kumbe walikuwa na mtume kwa maslahi binafsiSiku tatu zingetosha kumsitiri Mtume na taratibu za uchaguzi zingeendelea hivi nikupe mfano mdogo babaako amefariki wakati nyie mnaomboleza unamsikia baba yako mdogo ameweka kikao anajadili mgawanyo wa Mali za marehem wew utajiskiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kuwa Mashia ni waislamu kwanza taratibu ni zile zile QURAN na Suna , vip unaswali jingine ? au unataka dalili kutoka katika Quran na sunaTunawazungunzia Mashia hapa kijana.
Nasubiri ushahidi.
Umekuja na majibu yako mfukoni , Shia mtume wao ni Mohammad, na Mungu wao ni Allah , hivyo awa ni waislamu wameikiri shahada hizi mbili , kama hauna cha kuuliza kaa kimyaHuna ushahidi kijana unapoteza muda na kujitoa ufahamu
Wangapi ALLAH aliwasifu halafu badae wakawa watu waovu ? unakuwa kama sio msomi wa vitabu aisee acha hizo ata Yunus alikuwa mtu saafi lakini alimezwa na samaki kama funzo juu ya tabia yake ya papara, itakuwa hawa wakina Abubakari waroho wa madaraka , ingekuwa baba yako ndio mtume usingeandika takataka hizi, fikiria vizuri watu wanapata wapi ujasiri wa kujadili madaraka wakati mtume ata kuzikwa bado !!! wanapata wapi hawa waroho hawaUnawezaje kuwaita watu waliobashiriwa pepo wakiwa hai ni waroho wa madaraka, kwahiyo wewe unajua sana kuliko Allah (S.W.T) mwenyewe?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unakubali kuwa Omar alikataa mtume asiandike final wish ? halafu kama mwili wa mtume aujazikwa tu wakina Abubakar wanagawana madaraka leo Ali na familia yake waseme mtume kaacha wosia ndio watamuamini ? ahahaahhaha mtume alitaka final wish pale mbele ya watu wote sio familia yake maana kuna watu wasingeamini familia ya mtume kirahisiTwende na uthibitisho, maana mtume mwenyewe alifia mikononi mwa Ali na wanafamilia walikuwa wamemzunguka. Je asingeweza kuwaambia kiwa mrithi wao ni Ali (A.S)?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nacheka sana.Acha bangi kwa hiyo nyie mnavitabu vya Masuni? Kuna QURAN na hadithi za mtume akuna vitabu vya mashia huu ujinga ndio unamipoteza , kama utaki kuamini huo ujinga wako
Kaa chini ufikiri tena vizuri maana naona kama haujafikiria bado.Siku tatu zingetosha kumsitiri Mtume na taratibu za uchaguzi zingeendelea hivi nikupe mfano mdogo babaako amefariki wakati nyie mnaomboleza unamsikia baba yako mdogo ameweka kikao anajadili mgawanyo wa Mali za marehem wew utajiskiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nimpe majibu the tufunge mjadala.Pole sana mkuu,mada yako ni nzuri sana kwani wengi wetu hatufahamu kwa kina migogoro ya mashariki ya kati. Ila nasikitika hautapata majibu ya kutosheleza kwa kuwa washia na wasuni wameanza kubishana nani ni muislamu na nani siyo,badala ya kujikita kwenye maswali yako.
Usejenge hoja dhaifu kwa hisia,weka ushahidi na uonyeshe hilo kwa mujibu wa Uislamu,na dini haipelekwi kwa rai kijana.Unawezaje kuwaza uchaguzi wakati mtume wa Mungu aliekufundisha hiyo dini bado ajastiriwa ? unataka tuongee lugha gani mtume alipokuwa hai Abubakar alimganda kila eneo alipoona amekufa tena ata ajazikwa yuko busy na madaraka , niambie wakati wanachaguana Ali alikuwa wapi ? alishirikishwa kwenye uchaguzi ? huu ni uchaguzi wa kihuni kabisa halafu unasema uchaguzi wa waislamu ahahahaha umeamua kuamini ujinga
Kwani kuandika na kutamka kipi kinachukua muda mfupi? Usitake ujibiwe wewe maswali yako, hjajibu swali langu hata moja zaidi ya blah blah blah. Kajibu na maswali ya ZurriUnakubali kuwa Omar alikataa mtume asiandike final wish ? halafu kama mwili wa mtume aujazikwa tu wakina Abubakar wanagawana madaraka leo Ali na familia yake waseme mtume kaacha wosia ndio watamuamini ? ahahaahhaha mtume alitaka final wish pale mbele ya watu wote sio familia yake maana kuna watu wasingeamini familia ya mtume kirahisi
Jibh swali nililo kuuliza.Kabla ya kuwa Mashia ni waislamu kwanza taratibu ni zile zile QURAN na Suna , vip unaswali jingine ? au unataka dalili kutoka katika Quran na suna
Lete nukuu ata moja katika vitabu hivyo inayokataa maneno ya Quran kuwa mwenye Kumkiri ALLAH ni Muislamu , rahisi kabisa maana naona uelewiNacheka sana.
Kwahiyo Biharul an War,Usul al Kaf,Furu al Kaf vya Masuni,Nahjul Balagha vya Masuni ?
Hapa hatuongelei Qur'aan na Hadithi kijana,haoa tunaongelea Uislamu wa Mashia,leo siku ya ngapi hujibu swali unakimbia ?
Kijana leo siku ya ngapi huweki ushahidi ?Umekuja na majibu yako mfukoni , Shia mtume wao ni Mohammad, na Mungu wao ni Allah , hivyo awa ni waislamu wameikiri shahada hizi mbili , kama hauna cha kuuliza kaa kimya
Ndio nakwambia Omar alikataa final wish ya mtume hii haiitaji kupiga kelele wala wewe ukubali , hiko wazi yaani mtume anataka kalamu na karatasi , halafu Omar anakataa halafu unasemaje !!!Kwani kuandika na kutamka kipi kinachukua muda mfupi? Usitake ujibiwe wewe maswali yako, hjajibu swali langu hata moja zaidi ya blah blah blah. Kajibu na maswali ya Zurri
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nimekwambia lete kitabu chochote unachoita wewe cha kishia kinachopinga kuwa mwenye kumkiri ALLAH sio Muislamu ? hapa umefika penyewe utatapatapa sanaKijana leo siku ya ngapi huweki ushahidi ?
Nafunga mjadala na wewe,maana huna ushahidi na hili limekuzidi ukubwa. Siku nyingine uache hii tabia ya kuandika mambo usio kuwa na elimu nayo,na hii tabia kila nikijadiliana na wewe lazima idhihiri.
Hata swali la kitoto ulishindwa kujiuliza,kwanini kumekuwepo na USHIA ?