Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Serikali ya mapinduzi Zanzibar

Zanzibar kulikua na Jaji anaitwa Walfogong Durado. uyo ukipata chapisho lake lenye kichwa cha Habari TANGANYIKA yaionya ZANZIBAR, utajifunza mengi sana kuhusu huu Muungano
Naweza para pdf!?
 


Ilikubalika tangu awali Zanzibar ibakie na uhuru mkubwa wa kujitawala (autonomy) ndani ya Muungano.[emoji3064]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kama Sheikh Abeid Karume akifufuka Leo anajua chama kinachoongoza Zanzibar ni ASP !
 
Kwa sababu Marais waislam ni wabinafsi na wanakuwa wanapendelea Waislam wenzao wa Zanzibar.
Hiyo ni hofu tu ya wagalatia tu!
Waislamu hawajawahi kuwa na upendeleo kwa sababu wanapoingia madarakani hutawala huku wakiogopa sana jicho la kanisa.
Ukiangalia idadi ya viongozi wa serikali na taasisi zake zote tangu uhuru kwa awamu zote sita wakristo ni zaidi ya 60% bila kujali kuwa rais ni muislamu au ni mgalatia.
 
Kabla ya hapo Wana rais na huku bara Kuna rais , Wana Baraza la wawakilishi, na huku bara Kuna bunge, Wana bendera , na huku bara Kuna bendera.... Kuna vitu vingi tu amabavyo wanavyo na huku vipo kwahiyo hapo hakuna jipya. Ilivyokuwa rais wa Zanzibar anasimamia mambo ya Zanzibar ambayo siyo ya muungano huku rais wa muungano akiangalia mambo ya muungano basi taasisi zilizopo Zanzibar ni hivyohivyo zipo kwa ajili ya mambo Maalumu ya wazanzibari ambayo siyo ya muungano. Kama vile ndani ya wizara ya afya na wizara ya elimu Kuna mambo Maalumu yanashughulikiwa na wizara ya Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI )kwahiyo utakuta hospitali na shule iliyopo kwenye wilaya yako inapata bajeti na miongozo Toka wizara ya afya (muungano) na TAMISEMI (siyo ya muungano) nimeeleza hivi kama mfano tu wa mambo ya muungano na Yale ya Zanzibar ambayo siyo ya muungano.
 
Maneno ya William Lukuvi aliyoyasema kanisani wakati wa mjadala wa Zanzibar ni nchi au siyo nchi mnayakimbuka au hamkuyasikia au mnajifanya kuyasahau ??!!
 
Fact
 
Mnakumbuka zile harakat za kudai Zanzibar yenye mamlaka kamili 2013 kama sikosei zilikja zikiendshwa na mashehe waliounda umoja wao wakaupa jina uwamsho kule Zanzibar kupelekea mpaka wale mashehe kufungwa miaka 9 gerezan kwa ajili ya kuidai Zanzibar yenye mamlaka kamili ?

Wanachi walikua na muamko mkubwa mpaka kufikia kuandamana bila ya hofu yoyote Imagine toka miaka iyo wazanzibar walikuwa na uwelewa juu ya huu muungano na bado walikua hawautaki wakaupinga wazi wazi.

Ninachotaka kusema ni ivi kuipata Tanganyika sio rahisi kama mnavyodhania. Kwanza mkianzisha harakat kama za kule Zanzibar kuidai Tangayika mtapewa kesi ya uhaini. Ila kuidai Zanzibar yenye mamlaka kamili sio uhaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…