isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #61
Pamoja. 👊Big Up Mkuu.
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja. 👊Big Up Mkuu.
-Kaveli-
Elimu baina ya watu wake, viongozi wa mataifa hayo na kizazi cha miaka ya uhuru wa Afrika ni tatizo moja kutokupata maendeleo.Hizi nchi za America Kusini zinapanda kwa kasi sana kiuchumi, sijajua sisi Africa (hasa Kusini mwa jangwa la Sahara) tulikosea/ tunakosea wapi.
Nilijua utawataja tuNchi zenye ushirika mkubwa na US zinakuaga zimechangamka kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilikuwa na uchumi mzuri hata kipindi sisi tunapambana na mabeberu...Tunawahesabia tu hawa,ngoja.Hizi nchi za America Kusini zinapanda kwa kasi sana kiuchumi, sijajua sisi Africa (hasa Kusini mwa jangwa la Sahara) tulikosea/ tunakosea wapi.
Chief inaonekana unapenda sana nchi za Latin America hata tamaduni zao na lugha yao....Una connection nao yoyote ile?Elimu baina ya watu wake, viongozi wa mataifa hayo na kizazi cha miaka ya uhuru wa Afrika ni tatizo moja kutokupata maendeleo.
Madem was Colombia wanapatikana?Nilivisit mwaka jana januar kutokea bogota airport kisha Panamá city mji mzuri
Nilikwenda hadi antigua
Niliishi carthedral kwa siku zote mule ndani ambamo ni makazi ya askofu Mkuu na Majengo mengi mazuri na wanaeneo kubwa sana,
Barabara kuu imenyooka unaona kanisa
Jaap! 😊Chief inaonekana unapenda sana nchi za Latin America hata tamaduni zao na lugha yao....Una connection nao yoyote ile?
Safi Sana! Mkuu, ilikuwa personal tour au kazi?Nilivisit mwaka jana januar kutokea bogota airport kisha Panamá city mji mzuri
Nilikwenda hadi antigua
Niliishi carthedral kwa siku zote mule ndani ambamo ni makazi ya askofu Mkuu na Majengo mengi mazuri na wanaeneo kubwa sana,
Barabara kuu imenyooka unaona kanisa
Sawa mkuu, tuzidi Kusimulia kwa manufaa ya wengi.Yote uliyosimulia yako humu.
University of Swahili - Wikipedia
Share with us mkuu kama hutojaliJaap! 😊
Ni ndugu zangu wa mbali, marafiki, classmates, wafanyakazi pamoja and co.Share with us mkuu kama hutojali
Aliwafanya nini Paraboa? maana kila mtu anasema Paraboa.Baada ya kumaliza kusoma uzi ndio nikarudi juu kuangalia isijekuwa nasoma uzi wa Mkuu @paraboa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani, 😊Ahsante kwa makala hii