isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #21
Ndio mkuu alikuwa mwenye ulemavu wa macho. 😔Ana Lucrecía Taglioretti,nimejaribu kumcheki youtube, huyu binti kumbe alikuwa kipofu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu alikuwa mwenye ulemavu wa macho. 😔Ana Lucrecía Taglioretti,nimejaribu kumcheki youtube, huyu binti kumbe alikuwa kipofu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi Sana, MkuuNaipenda sana Paraguai ni moja kati ya nchi ambayo nimeikanyaga
Nalog off
Aisee,watu wamewekezaMkuu Itaipu Dam ni bwawa namba mbili duniani nyuma ya Three Gorges ya Hubei, China.
Itaipu Dam inahadi Production Studio maana bwawa hili huwaka rangi mbalimbali na maumbo mbalimbali, huku production team ikiendesha suala zima.
Lilijengwa kwa $19.6 billioni sawa na $48.2 billioni ya leo. Mwaka 2016 lilizalisha 103,098,366 megawatt kwa saa na kuweka record ya dunia ambayo haijavunjwa hadi leo.
Inatambulika kama nchi inayokua kiuchumi.Paraguay!!! Very beautiful country.Ntafurahi siku nikiikanyaga!!
Ila I really don't understand why she has such a low GDP compared to her neighbours....Unajua GDP ya Tz ipo juu kuliko ya Paraguay!!! Population tu ndo imetutofautisha;wao 7M sisi 60M.Hiyo inafanya Per Capita yao ituache kwa kiasi kikubwa.