sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
JF n jukwaa lnalonsaidia ku-reflesh mind na kujfunza zaid kuhusu mambo mbalimbali ya wanazengo wamayo share
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana umefunguka vyemaMoja... Ni sehemu pekee ambayo unakutana na watu, na mkaelewana, kuzoeana hata kupendana, alafu baadae ndiyo mnakuja kuonana...
Pili... Ni sehemu ambayo taarifa huletwa papo kwa papo... siyo ungoja mpaka zikahaririwe...
Tatu... ni sehemu ambayo unaweza tapika nyongo, kuleta ujuaji, au kuleta ubabe, bila kufahamu huyo member ana nguvu gani juu yako... mpaka ile siku atakayokukamata na kukupoteza...
Nne... Ukitaka kuishi kwa amani na bila stress don't take everything serious... fanya unaloweza, mengine waachie wenyewe...
Cc: mahondaw
Baadhi ya members na matukio yaoburudani ipi mkuu?
lipia tangazo lako mkuumm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k
nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
nmesema mm hapa ni sehem ya biashara nikatoa na mfano hai..naomba wateja wamimike niuze chapulipia tangazo lako mkuu
picha hizo apo mzigo mpyaaaaa..nahama kikazi tumm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k
nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
AhahaNi mtandao ambao walala hoi au baadhi ya watumia smatphone hawaujui basi jamii inayonizunguka nawapigia stori za nondo ninazochukua humu basi hapa kitaani kwangu wananiogopa kuliko hata jiwe wenu
bei laki 3 na 70 wakuu ila inashuka kiasimm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k
nipo Dodoma Mjini picha znakuja..