Jamii Forum ni nini kwako?

Jamii Forum ni nini kwako?

Jamiiforums ndiyo kila kitu.
Utapata news, utajifunza, utaburudika nk.
Nimejiunga hapa tangu miaka ya mwanzo ya jukwaa hili ingawa kwa account yangu ya zamani ambayo haipo tena.
Tangu wakati huo nimejifinza mengi hapa.
 
Ni social network ya maana sana ambayo ni full package, napata habari za aina zote kupitia forum hii....

ila kubwa zaidi ni stress reliever , huwa nikiwa bored mara nyingi naingia JF na mpaka nikitoka ninakuwa niko vizuri sana [emoji41]
 
Moja... Ni sehemu pekee ambayo unakutana na watu, na mkaelewana, kuzoeana hata kupendana, alafu baadae ndiyo mnakuja kuonana...

Pili... Ni sehemu ambayo taarifa huletwa papo kwa papo... siyo ungoja mpaka zikahaririwe...

Tatu... ni sehemu ambayo unaweza tapika nyongo, kuleta ujuaji, au kuleta ubabe, bila kufahamu huyo member ana nguvu gani juu yako... mpaka ile siku atakayokukamata na kukupoteza...

Nne... Ukitaka kuishi kwa amani na bila stress don't take everything serious... fanya unaloweza, mengine waachie wenyewe...


Cc: mahondaw
safi sana umefunguka vyema
 
JF ni kama jamii kwangu..yaani mtaa..ambao ndani yake kuna watu wana uelewa wa mambo mengi kuhusu Siasa,Uchumi,Tech,Burudani na Michezo na maswala ya Elimu pia.
Ila team yako tu Manchester ndiyo hovyo
 
Jf ndo app best kwangu...!! Ikifwatiwa na zingine
 
mm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k

nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
 
mm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k

nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
lipia tangazo lako mkuu
 
mm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k

nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
picha hizo apo mzigo mpyaaaaa..nahama kikazi tu
IMG_20191016_102311_8.jpeg
IMG_20191016_102319_6.jpeg
IMG_20191016_102412_6.jpeg
IMG_20191016_102416_2.jpeg
 
Ni mtandao ambao walala hoi au baadhi ya watumia smatphone hawaujui basi jamii inayonizunguka nawapigia stori za nondo ninazochukua humu basi hapa kitaani kwangu wananiogopa kuliko hata jiwe wenu
Ahaha
 
mm kwangu ndo sehem ya biashara kama sasahv nauza computer yangu ina smart hp monitor (slimmest ) inch 27 cpu ram2gb hdd 250gb(hp),keyboard (hp) mouse +mat (hp) na vga,powercable yake vyote ...bei 370k

nipo Dodoma Mjini picha znakuja..
bei laki 3 na 70 wakuu ila inashuka kiasi


0629330383 wasap 0752992703
 
Back
Top Bottom