wadau mimi ni mgeni humu ila nimeanza kuifutilia na kusoma habari zinazo andikwa humu tangu 2013 mpaka nimeamua kujiunga mwezi huu wa pili kiukweli naipenda sana jamii forum kwa sababu kuna watu watu wanakinzana kwa hoja kikubwa nilichojifunza wakati nikiwa mtazamaji wa nje kuna watu washauri wazuri sana humu ila kuna watu pia wakatishaji tamaa kwa comment zao. ahanteni mtanisamehe kama kuna sehemu sijaeleweka vizuri kimandishi
kutokana na kuwa mgeni.
kutokana na kuwa mgeni.