Jamii forums ibadilishwe jina iwe TANZANIA FORUMS

Jamii forums ibadilishwe jina iwe TANZANIA FORUMS

WASIJARIBU KABISAAA!! Maana itakuwa controlled kila kitu na serikali na watataka tuverify majina yetu kwao na ndo itakuwa mwisho wa fake id. mwisho wa siku wataambiwa wahame kutoka .com kwenda .co.tz ili wafungiwe kirahisi kama mada zitolewazo zitaikwaza serikali na ccm yake.
 
jina naona halina shida...
wadaku ndo wanaona halina mvuto ni uvivu wa wabongo kutafuta page zenye kuelimisha ila ingekuwa imeka kiudaku hilo nyomi lake pasingetosha?
halaf sio watu wote ni great thinker
mtoa mada mwenyew nina wasiwasi nae
 
kila siku wewe tu unakuja na mada zisizo na kichwa tumekuvumilia angalau sasa umegundua upo hapa kimakosa rudi kwenye magroup yenu ya whazup ya waganga wa kienyeji
Mkuu usinilaumu tumbo lako likianza kufuka mosh
 
Nimekuja gundua kwa nn buji buji kaanzisha ule uzi .... ww mwenyew umeijua jamii forums bila kuwa tzforum ... na wengi wanaijua ivyo kuliko we
 
Back
Top Bottom