Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Najua Prof. Shivji ni mwalimu wa sheria hapo school of Law.
Sina hakika kama huwa anapata muda wa kuielezea au kufundisha sheria kwa lugha ya kiswahili.
Mimi kiukweli baada ya kutoa somo lake la sheria ya umiliki wa ardhi kwa lugha ya kiswahili nimejikuta nakua mpya kabisa kichwani kuliko nilivyokua nakalili kwa lugha ya kiingereza.
Sasa mimi ninachoomba Jamii Forum ingemwomba hata awe anatuandikia nyuzi za mambo ya sheria kwa kiswahili ili wengine tupate kuelewa. Mimi nipo tayari kujifunza kwa lugha yetu ya kiswahili
Mfano: Itapendeza sana akitufundisha hizi sheria kwa lugha ya kiswahili.
1. Sheria ya madini.
2. Sheria mafuta na gesi.
3. Sheria ya mazingira.
4. Sheria biashara.
5. Sheria ya familia.
6. Sheria ya kodi
Nawasilisha.
Ahsante.
Sina hakika kama huwa anapata muda wa kuielezea au kufundisha sheria kwa lugha ya kiswahili.
Mimi kiukweli baada ya kutoa somo lake la sheria ya umiliki wa ardhi kwa lugha ya kiswahili nimejikuta nakua mpya kabisa kichwani kuliko nilivyokua nakalili kwa lugha ya kiingereza.
Sasa mimi ninachoomba Jamii Forum ingemwomba hata awe anatuandikia nyuzi za mambo ya sheria kwa kiswahili ili wengine tupate kuelewa. Mimi nipo tayari kujifunza kwa lugha yetu ya kiswahili
Mfano: Itapendeza sana akitufundisha hizi sheria kwa lugha ya kiswahili.
1. Sheria ya madini.
2. Sheria mafuta na gesi.
3. Sheria ya mazingira.
4. Sheria biashara.
5. Sheria ya familia.
6. Sheria ya kodi
Nawasilisha.
Ahsante.