Cathbreez Calvin
New Member
- Mar 25, 2013
- 1
- 0
tumeona matokeo ya kidato cha nne jinsi yalivyokuwa mabaya sana
na tujiulize kama matokeo ya kidato cha sita ya kitoka vibaya huko mtaani sijui kutakuwaje
kutkuwa na ongezeko kubwa la vijana wasiokuwa na kazi.
nijukumu la jamii na serekali kuliangalia hili jambo kwa macho mengi
na tujiulize kama matokeo ya kidato cha sita ya kitoka vibaya huko mtaani sijui kutakuwaje
kutkuwa na ongezeko kubwa la vijana wasiokuwa na kazi.
nijukumu la jamii na serekali kuliangalia hili jambo kwa macho mengi