Kwani kilichotokea moshi mpakaHuwa najiuliza ni lini serikali itapiga marufuku huu upuuzi. Au mpaka yatufike kama ya Kule Kilifi, Kenya? Then it will be too late. Mbona hao wahubiri wakitaka magari hayashuki from nowhere bali wanataka michango ya wafuasi wao??
Hao hao manabii leo hii ni wageni rasmi huko bungeniHuwa najiuliza ni lini serikali itapiga marufuku huu upuuzi. Au mpaka yatufike kama ya Kule Kilifi, Kenya? Then it will be too late. Mbona hao wahubiri wakitaka magari hayashuki from nowhere bali wanataka michango ya wafuasi wao??
Hatari Sana.Kwani kilichotokea moshi mpaka
Watu kukanyagana hadi kupoteza
Uhai....si yale yale tu na ya huko kenya
Ova
Uwovu wa shetaniHili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.[emoji23]
View attachment 2602028
Acha wajinga wapungueMimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.
Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu mzee anasema kila siku anawaona nduguze waliokufa siku nyingi wanamwita. Na nyakati nyingine amekuwa akiwaona hao wafu wanamuandalia party ya kula nyama mbichi za watu.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu hili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.
Wakati watu wakiwa busy na ujinga ule, mimi nilikuwa nimekaa kimya nawacheka tu kimoyomoyo.
Mchungaji naye alikuwa busy akizunguka huku na huko akiwagusa watu wake vichwani na kuwaambia gari lako na likadhihirike kwenye ulimwengu wa nyama.
Akiwa kwenye kuzunguka kwake ndipo akanikuta nimekaa sifanyi utaahira ule. Akaniuliza kwanini naleta roho za upinzani kanisani kwake?
Nikamjibu sileti roho ya upinzani, ila siamini kwenye mazingaombwe. Ndipo akawaita walinzi wake, yeye anawaita protocol wanitoe ndani na nisirudi tena mle ndani.
Nikamsikia akiongea kutoka kwenye maspika kuwa shetani amejidhirisha kanisani ili kuzuia muujiza wa watu kupokea magari.
Basi akaambiwa waanze kukemea roho zote za upinzani ambazo zinasababisha wao wasipokee magari yao.
Jamaa zangu nilipotolewa nje nao wakatoka tukarudi nyumbani.
Ndugu zangu watanzania magari hayapatikani hivyo. Utalitolea sadaka na kulipandia sana mbeg u gari lako, hadi ukome.
Waza nje ya boksi, kuwa mbunifu kwenye shughuli zako, boresha huduma zako, jali muda, uwe na matumizi mazuri ya fedha. Nidhamu ya fedha ndiyo itakayokuletea mabadiliko ya tabia zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we wakwetu weee au umekaa Huko sana bhaaaaMweee bhaàaa
Tumechezewa Sana Ndugu ZanguVery bad watu wanachezewa akili kama watoto
Haa HaaAcha wajinga wapungue
Uko sahihi. Huwezi kupeleka upuuzi huu Kwa mfano Ujerumani wakakusikiliza. Tunajidhalilisha mno. Tuna akili mgando sijapata kuona mfano wake! Mtu unaambiwa funga kula chakula mpaka ufe ili ukutane na Yesu na unakubali😁 Fundisho Gani Hilo? Mungu aliposema USIUE alimaanisha pia USIJIUE. You are guilty of murder Kwa Nafsi yako mwenyewe. Nasubiri nione serikali yangu tukufu itachukua hatua gani kudhibiti huu upumbavu. Nasikia Kuna mhubiri ametiwa mbaroni huko Kenya ambaye alikuwa mbioni kuja kuhubiri Dodoma. Nadhani nae Hana tofauti na yule aliyewafungisha watu mpaka wakafa. Serikali iwe macho. Uhuru wa kuabudu una mipaka yake.Kichwa cha habari kitaje wakristo weusi.
Hah hahaAcha wajinga wapungue
Ni rahisi sana kum brainwash mtu mweusiUko sahihi. Huwezi kupeleka upuuzi huu Kwa mfano Ujerumani wakakusikiliza. Tunajidhalilisha mno. Tuna akili mgando sijapata kuona mfano wake! Mtu unaambiwa funga kula chakula mpaka ufe ili ukutane na Yesu na unakubali😁 Fundisho Gani Hilo? Mungu aliposema USIUE alimaanisha pia USIJIUE. You are guilty of murder Kwa Nafsi yako mwenyewe. Nasubiri nione serikali yangu tukufu itachukua hatua gani kudhibiti huu upumbavu. Nasikia Kuna mhubiri ametiwa mbaroni huko Kenya ambaye alikuwa mbioni kuja kuhubiri Dodoma. Nadhani nae Hana tofauti na yule aliyewafungisha watu mpaka wakafa. Serikali iwe macho. Uhuru wa kuabudu una mipaka yake.
Nilishangaa kwamba jambo Lile liliachwa lipite kimya kimya. Unbelievable!!Kwani kilichotokea moshi mpaka
Watu kukanyagana hadi kupoteza
Uhai....si yale yale tu na ya huko kenya
Ova
Hapo ndipo hatari kubwa inapokuja. If they will succeed to infect the Authorities itakuwa balaa kubwa sana. Dada Tulia Nina Imani kubwa na wewe. Be on your watch kukemea infiltration ya kishetani kupitia muhimili tuliokukabidhi uusimamie.Hao hao manabii leo hii ni wageni rasmi huko bungeni
Ova
Sijui tatizo ni umasikini au?🤔 Watu wanatafuta suluhishi rahisi la maisha Kwa miujiza!Ni rahisi sana kum brainwash mtu mweusi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]akili nywele aseHili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.[emoji23]
View attachment 2602028
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]duhViongozi wengi wa Makanisa wametumia Shida na misongo ya mawazo ya Waumini wao kama mtaji wa biashara zao.
Kuna Kanisa niliiacha kuabudu baada ya kuombwa Nipeleke SalarySlip yangu ili wanipangia Sadaka ya Fungu la 10, yaani Kodi ya Serikali nilipe na Wale wahuni wapige hela zangu kama tunasaidiana kuzitafuta.
Nimeamua zile asilimia 10 walizokuwa wanazitaka kwa nguvu nawasaidia wenye Uhitaji na Masikini wenzangu huku mtaani.
Ni shida kwa kweli 😅[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]duh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahahah huu ujinga ni above the sea levelHili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.[emoji23]
View attachment 2602028
Hahahahahah upewe Desperado 8 kwa bill yanguBakora ya baraka iko moja tu, inakupa raha, inakupa na watoto pia. Hizo ndio baraka zenyewe
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaMimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.
Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu mzee anasema kila siku anawaona nduguze waliokufa siku nyingi wanamwita. Na nyakati nyingine amekuwa akiwaona hao wafu wanamuandalia party ya kula nyama mbichi za watu.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu hili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.
Wakati watu wakiwa busy na ujinga ule, mimi nilikuwa nimekaa kimya nawacheka tu kimoyomoyo.
Mchungaji naye alikuwa busy akizunguka huku na huko akiwagusa watu wake vichwani na kuwaambia gari lako na likadhihirike kwenye ulimwengu wa nyama.
Akiwa kwenye kuzunguka kwake ndipo akanikuta nimekaa sifanyi utaahira ule. Akaniuliza kwanini naleta roho za upinzani kanisani kwake?
Nikamjibu sileti roho ya upinzani, ila siamini kwenye mazingaombwe. Ndipo akawaita walinzi wake, yeye anawaita protocol wanitoe ndani na nisirudi tena mle ndani.
Nikamsikia akiongea kutoka kwenye maspika kuwa shetani amejidhirisha kanisani ili kuzuia muujiza wa watu kupokea magari.
Basi akaambiwa waanze kukemea roho zote za upinzani ambazo zinasababisha wao wasipokee magari yao.
Jamaa zangu nilipotolewa nje nao wakatoka tukarudi nyumbani.
Ndugu zangu watanzania magari hayapatikani hivyo. Utalitolea sadaka na kulipandia sana mbeg u gari lako, hadi ukome.
Waza nje ya boksi, kuwa mbunifu kwenye shughuli zako, boresha huduma zako, jali muda, uwe na matumizi mazuri ya fedha. Nidhamu ya fedha ndiyo itakayokuletea mabadiliko ya tabia zako.