Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

Ni shida kwa kweli [emoji28]
My sista mpk namuonea huruma aseeh
Kwa kupenda hao wenye miujiza alitoka Kwa suguye,mwamposa,baadae kuhani Mussa mara sijui lusekelo yaani wote kawamaliza but still Yuko vile vile
Juzi ananiambia hivi ujue wapo manabii wanafufua watu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikaitikia tu maaana namheshimu and I love her huwa sitamani kumkwaza even a bit
Tv yake ikifka saa tatu usiku mwamposa,mchana suguye
Yaani 24/7 ni hao hao tu
Nikiwa kwake namuambia bestie naomba niyaangalie ya Dunia kidogo,[emoji2][emoji2][emoji3526]
Sasa siku Moja kaniambia Kuna mchungaji anataka aende huyo unatoa laki sita za kibongo anakuosha anatoa nuksi ,mikosi n.k,anatafuta pesa aende hukooo akaoshwe nikaitikia tu nkasema okay mradi mambo Yako yaende ila moyoni Sasa nasema daahhh hii shidaa hii

Honestly natamani wakristo wabaki na madhehebu Yao ya asili makuu Yale Yale ,RC,Lutheran,Anglican , Adventist na Pentecostal baasi kungine ni usanii mtupu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahah huu ujinga ni above the sea level
Ningewaamini Hawa manabii wangeweza mtibia mama yangu mzazi maana alivoanza kuumwa akawa anaenda Huko enzi zile Kwa mchungaji "Salu",Lusekelo na Kakobe ila nothing happened hakupona Wala Nini... she has gone to heavenly abode

The day before hajafa aliwaambia dada Zake na kaka zake niiteni mchungaji wangu wa Anglican Mtweve akaja ,akamuombea Sala ya Toba
Toka hapo siwaamini na sitawaamini abadani asilani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.

Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu mzee anasema kila siku anawaona nduguze waliokufa siku nyingi wanamwita. Na nyakati nyingine amekuwa akiwaona hao wafu wanamuandalia party ya kula nyama mbichi za watu.

Kilichonisukuma kuandika uzi huu hili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.

Wakati watu wakiwa busy na ujinga ule, mimi nilikuwa nimekaa kimya nawacheka tu kimoyomoyo.

Mchungaji naye alikuwa busy akizunguka huku na huko akiwagusa watu wake vichwani na kuwaambia gari lako na likadhihirike kwenye ulimwengu wa nyama.

Akiwa kwenye kuzunguka kwake ndipo akanikuta nimekaa sifanyi utaahira ule. Akaniuliza kwanini naleta roho za upinzani kanisani kwake?

Nikamjibu sileti roho ya upinzani, ila siamini kwenye mazingaombwe. Ndipo akawaita walinzi wake, yeye anawaita protocol wanitoe ndani na nisirudi tena mle ndani.

Nikamsikia akiongea kutoka kwenye maspika kuwa shetani amejidhirisha kanisani ili kuzuia muujiza wa watu kupokea magari.

Basi akaambiwa waanze kukemea roho zote za upinzani ambazo zinasababisha wao wasipokee magari yao.

Jamaa zangu nilipotolewa nje nao wakatoka tukarudi nyumbani.

Ndugu zangu watanzania magari hayapatikani hivyo. Utalitolea sadaka na kulipandia sana mbeg u gari lako, hadi ukome.

Waza nje ya boksi, kuwa mbunifu kwenye shughuli zako, boresha huduma zako, jali muda, uwe na matumizi mazuri ya fedha. Nidhamu ya fedha ndiyo itakayokuletea mabadiliko ya tabia zako.
Tatizo la watu weusi ni kutotaka kufanya kazi kwa bidii. Umaskini umedumaza akili za watu wengi sana.
Miujiza ipo na Mungu yupo. Ila maandiko matakatifu yanatukumbusha tufanye kazi kwa bidii.
Hizi program za kupanda mbegu kanisani zinaumiza sana watu wengi.
 
Ningewaamini Hawa manabii wangeweza mtibia mama yangu mzazi maana alivoanza kuumwa akawa anaenda Huko enzi zile Kwa mchungaji "Salu",Lusekelo na Kakobe ila nothing happened hakupona Wala Nini... she has gone to heavenly abode

The day before hajafa aliwaambia dada Zake na kaka zake niiteni mchungaji wangu wa Anglican Mtweve akaja ,akamuombea Sala ya Toba
Toka hapo siwaamini na sitawaamini abadani asilani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wahuni tu hao aisee. Sema nawaza namimi siku moja nitafte nyumbu wangu nipite nao 😀😀😀 maisha hayawezi kuwa magumu hivi
 
Mimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.

Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu mzee anasema kila siku anawaona nduguze waliokufa siku nyingi wanamwita. Na nyakati nyingine amekuwa akiwaona hao wafu wanamuandalia party ya kula nyama mbichi za watu.

Kilichonisukuma kuandika uzi huu hili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.

Wakati watu wakiwa busy na ujinga ule, mimi nilikuwa nimekaa kimya nawacheka tu kimoyomoyo.

Mchungaji naye alikuwa busy akizunguka huku na huko akiwagusa watu wake vichwani na kuwaambia gari lako na likadhihirike kwenye ulimwengu wa nyama.

Akiwa kwenye kuzunguka kwake ndipo akanikuta nimekaa sifanyi utaahira ule. Akaniuliza kwanini naleta roho za upinzani kanisani kwake?

Nikamjibu sileti roho ya upinzani, ila siamini kwenye mazingaombwe. Ndipo akawaita walinzi wake, yeye anawaita protocol wanitoe ndani na nisirudi tena mle ndani.

Nikamsikia akiongea kutoka kwenye maspika kuwa shetani amejidhirisha kanisani ili kuzuia muujiza wa watu kupokea magari.

Basi akaambiwa waanze kukemea roho zote za upinzani ambazo zinasababisha wao wasipokee magari yao.

Jamaa zangu nilipotolewa nje nao wakatoka tukarudi nyumbani.

Ndugu zangu watanzania magari hayapatikani hivyo. Utalitolea sadaka na kulipandia sana mbeg u gari lako, hadi ukome.

Waza nje ya boksi, kuwa mbunifu kwenye shughuli zako, boresha huduma zako, jali muda, uwe na matumizi mazuri ya fedha. Nidhamu ya fedha ndiyo itakayokuletea mabadiliko ya tabia zako.
Kwahiyo mlienda watatu kanisani kila mtu na gari lake?
 
Makanisa yote duniani bila mazingaombwe hakuna kanisa pamoja porojo za abunwasi ukitaka kuamini fatilia maubili yao pia viongozi wa makanisa ni mabingwa wa kupinga biblia,ukichunguza kwa akili ya ufahamu uliopewa na muumba utagundua kuwa makanisa yapo kupingana na biblia wanayo ibeba kwapani kila siku.
Sio makanisa yote yanafanya mazingaombwe kuna ya UKWELI ndiyo maana yakaja na yamazingaombwe
 
My sista mpk namuonea huruma aseeh
Kwa kupenda hao wenye miujiza alitoka Kwa suguye,mwamposa,baadae kuhani Mussa mara sijui lusekelo yaani wote kawamaliza but still Yuko vile vile
Juzi ananiambia hivi ujue wapo manabii wanafufua watu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikaitikia tu maaana namheshimu and I love her huwa sitamani kumkwaza even a bit
Tv yake ikifka saa tatu usiku mwamposa,mchana suguye
Yaani 24/7 ni hao hao tu
Nikiwa kwake namuambia bestie naomba niyaangalie ya Dunia kidogo,[emoji2][emoji2][emoji3526]
Sasa siku Moja kaniambia Kuna mchungaji anataka aende huyo unatoa laki sita za kibongo anakuosha anatoa nuksi ,mikosi n.k,anatafuta pesa aende hukooo akaoshwe nikaitikia tu nkasema okay mradi mambo Yako yaende ila moyoni Sasa nasema daahhh hii shidaa hii

Honestly natamani wakristo wabaki na madhehebu Yao ya asili makuu Yale Yale ,RC,Lutheran,Anglican , Adventist na Pentecostal baasi kungine ni usanii mtupu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
daaah aisee, hujawahi ongea nae hata kidogo kumwambia ni matapeli? Inasikitisha
 
My sista mpk namuonea huruma aseeh
Kwa kupenda hao wenye miujiza alitoka Kwa suguye,mwamposa,baadae kuhani Mussa mara sijui lusekelo yaani wote kawamaliza but still Yuko vile vile
Juzi ananiambia hivi ujue wapo manabii wanafufua watu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikaitikia tu maaana namheshimu and I love her huwa sitamani kumkwaza even a bit
Tv yake ikifka saa tatu usiku mwamposa,mchana suguye
Yaani 24/7 ni hao hao tu
Nikiwa kwake namuambia bestie naomba niyaangalie ya Dunia kidogo,[emoji2][emoji2][emoji3526]
Sasa siku Moja kaniambia Kuna mchungaji anataka aende huyo unatoa laki sita za kibongo anakuosha anatoa nuksi ,mikosi n.k,anatafuta pesa aende hukooo akaoshwe nikaitikia tu nkasema okay mradi mambo Yako yaende ila moyoni Sasa nasema daahhh hii shidaa hii

Honestly natamani wakristo wabaki na madhehebu Yao ya asili makuu Yale Yale ,RC,Lutheran,Anglican , Adventist na Pentecostal baasi kungine ni usanii mtupu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao Pentecostal wafutwe maana ndio umekuwa mlango wa manabii feki kuingilia maisha ya watu.
 
Nilishangaa kwamba jambo Lile liliachwa lipite kimya kimya. Unbelievable!!
Serikali inajua kabisa mkifa kwenye mambo yenu ya dini ni makosa na uzembe wenu. Mungu aliwapeni akili ya kuchagua kilicho bora, mkagoma kwa utashi wenu
 
My sista mpk namuonea huruma aseeh
Kwa kupenda hao wenye miujiza alitoka Kwa suguye,mwamposa,baadae kuhani Mussa mara sijui lusekelo yaani wote kawamaliza but still Yuko vile vile
Juzi ananiambia hivi ujue wapo manabii wanafufua watu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikaitikia tu maaana namheshimu and I love her huwa sitamani kumkwaza even a bit
Tv yake ikifka saa tatu usiku mwamposa,mchana suguye
Yaani 24/7 ni hao hao tu
Nikiwa kwake namuambia bestie naomba niyaangalie ya Dunia kidogo,[emoji2][emoji2][emoji3526]
Sasa siku Moja kaniambia Kuna mchungaji anataka aende huyo unatoa laki sita za kibongo anakuosha anatoa nuksi ,mikosi n.k,anatafuta pesa aende hukooo akaoshwe nikaitikia tu nkasema okay mradi mambo Yako yaende ila moyoni Sasa nasema daahhh hii shidaa hii

Honestly natamani wakristo wabaki na madhehebu Yao ya asili makuu Yale Yale ,RC,Lutheran,Anglican , Adventist na Pentecostal baasi kungine ni usanii mtupu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mwenyewe nimebaki na KKKT tu, sitaki huo usanii wa Mitume na Manabii
 
Kweli huu utahaira wa grade one yaani mtu mzima na mapumbu yake anasimama na kupiga honi na.mdomo piii na kunyonga nyonga mikono kama ameshika usukani.Hawa wapumbavu ndio wanaambiwaga wakajirushe kwenye barabara zenye magari wagongwe na magari wafe wakakutane na yesu.
 
Wahuni tu hao aisee. Sema nawaza namimi siku moja nitafte nyumbu wangu nipite nao [emoji3][emoji3][emoji3] maisha hayawezi kuwa magumu hivi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]km pilipili na masanja Wana waumini na wanakula fungu la kumi wewe pia utawapata bro

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom