nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 675
- 1,516
aaah weee 😂😂Ni baraka sio bakora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaah weee 😂😂Ni baraka sio bakora
Yote yako hivio chunguza kwa kina weka upenzi pembeni jali kuelewa utajifunza mambo mengiNadhani sio yote
Sawa asante[emoji1545]Yote yako hivio chunguza kwa kina weka upenzi pembeni jali kuelewa utajifunza mambo mengi
Ni huzuni sana, sijui wanatafuta baraka gani hizo za kuchapwaWatachapwa sana tu, kwasababu kichwani hawana akili na moyoni mwao hamna neno la Mungu
Kuna siku unakuwa na akili safiHamna miujiza siku hizi. Ukidhani miujiza ni dili, basi jua kwamba wewe ndio dili lenyewe
Bakora ya baraka iko moja tu, inakupa raha, inakupa na watoto pia. Hizo ndio baraka zenyeweNi baraka sio bakora[emoji1544][emoji1544][emoji1787]
Wenzetu waishaachana na huu ujinga kitambo sana. Hawa manabii, mitume nk walikuwa ni watu wa kudhibitiwa, wanatumia ukosefu wa elimu na umasikini wa jamii yetu kuiangamiza kabisa.Mimi ni Mkristo nisiyeamini katika makanisa na miujiza, maajabu na mazingaombwe.
Ila jana nilienda kusali kwenye kanisa moja nikiwa nimeambatana na rafiki yangu na baba mzazi wa rafiki yangu, huyu
Bakora ya baraka iko moja tu, inakupa raha, inakupa na watoto pia. Hizo ndio baraka zenyeweNi baraka sio bakora[emoji1544][emoji1544][emoji1787]
Bakora ya baraka iko moja tu, inakupa raha, inakupa na watoto pia. Hizo ndio baraka zenyeweNi baraka sio bakora[emoji1544][emoji1544][emoji1787]
Bakora ya baraka iko moja tu, inakupa raha, inakupa na watoto pia. Hizo ndio baraka zenyeweNi baraka sio bakora[emoji1544][emoji1544][emoji1787]
Wakristo wamekuwa ni watu wajinga kabisahili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.[emoji23]View attachment 2602028
Mwenye kukomesha upumbavu huu sio wana siasa wa bongo labda kagame tuhili kanisa waliambiwa na kiongozi wao kila mtu aendeshe gari lake, atoe mlio wa gari, aweke gia na kupiga honi za mdogo. Elekea kulia, kushoto, mbele, nyuma, kisha nenda nje ya kanisa ukapaki gari yako.[emoji23]View attachment 2602028
Mental slaveryWenzetu waishaachana na huu ujinga kitambo sana. Hawa manabii, mitume nk walikuwa ni watu wa kudhibitiwa, wanatumia ukosefu wa elimu na umasikini wa jamii yetu kuiangamiza kabisa.
Umewasahau imani za kishirikina, uchawi na waganga wa kienyeji wote hao ni kundi moja.
Kuna mtu katapika viwembe huku 😂😂A postol kuna muujiza hapa... 🤣🤣🤣 Nini kimetokea...
Watu wa camera.... Picha mbona hatuzioni.... 🤣🤣🤣Kuna mtu katapika viwembe huku 😂