Jamii ya watu weusi inaangamia kwa kupenda miujiza, maajabu na mazingaombwe badala ya kupenda kuwajibika kwa juhudi na maarifa

yani hapo waumini walivomaliza ibada walienda kusimuliana jinsi shetani ulivofanania wakati unatolewa [emoji23][emoji23][emoji23]….very funny
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.
Bas hapo watamuona mchungaji ana nguvu mnoo. Kumbe wanatapeliwa tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi wewee???? Uwiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaaah
 
Unakuta libaba jitu zima linalia jiiiiiiiiiiim.... jiiiiiiiiii jijiiiiiiiiiiiiii mhhhhhhh anabadilisha magia utadhani anaendesha Scania 113 akiamini eti ndio atapata semi trucks
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechekaa kwa sautii, hadi watu wananishangaaaa, khaaah.

Afu ukute kuna baba kati ya hao ana kitambi pia, mbavu zangu mie uwiiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hadi mbaba mwenye kitambi na mindevu yake nae anaendesha gari hewa[emoji23]
Hebu imagine ndo anakanyaga gia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nacheka km mwehu hapa.
 
Longtime niliepelekagwa kwa mama rwakatare,kipengele hicho cha kutaka gari sasa ,mnakaa mkao wa kushika usukukani na kukanyaga break
Huku mnaombewa [emoji1]

Ova
Hadi wee?? Ujanja wotee huu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana sitakiii kuamini,
Mweeeeh
 
Nishakutana nayo kwa mamarwakatare mm
Kyna kama unataka safari ya kw3nda ulaya pia,unakaa mkao wa boeing kurukaaa [emoji1] ipo nayo
Kakobe naye ana mambo yake pia

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanivunja mbavu khaaah
 
Longtime niliepelekagwa kwa mama rwakatare,kipengele hicho cha kutaka gari sasa ,mnakaa mkao wa kushika usukukani na kukanyaga break
Huku mnaombewa [emoji1]

Ova
Dah...
Huwi tajiri kamwe kama hamna watu uliowafanya misukule. Misukule ya dini mpo?
 
Ukishaamini Mungu tu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, umeshaamini muujiza.

Na unakuwa ushaingia katika matatizo uliyoyataja.
Karibu utoe neno Mr, hujawahi niangushaa hata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu imagine ndo anakanyaga gia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nacheka km mwehu hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah [emoji23][emoji23]yaani nimewavutia picha nikajikuta nacheka mbaya kabisa. Mara mmama na mimba yake, mbaba na likitambi wanapichana kama robot.

Hawa wahubiri Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi kiongoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…