katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Hahaha umefanya niangalie kama vyeti vyangu ni orijino sio kwa ng'eng'e iloImekuwaje mkubwa unafukua makaburi kama barabara ya Maliki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha umefanya niangalie kama vyeti vyangu ni orijino sio kwa ng'eng'e iloImekuwaje mkubwa unafukua makaburi kama barabara ya Maliki?
Mbona hayo masihara ya kitoto tu?Hahaha umefanya niangalie kama vyeti vyangu ni orijino sio kwa ng'eng'e ilo
Broh,Mbona hayo masihara ya kitoto tu?
Mimi nimeanza kuhangaika na vitabu vya Charles Dickens tangu niko 13 years old, na kabla ya hapo nilikuwa na deal sana na comics nikitaka kufuatilia stories kwa picha na kamusi tangu niko 9 years old.Broh,
Hii lugha imenibidi nikajiandikishe pale British Council niwezwe pikwa upya.
Mana si kwa kigugumizi ninapokutana na wakenya. Hata hivyo ninampango wa kusoma MBA. Sasa ukiacha tu masharti yao ya kufikisha Marks ya 6.5 IELTS, pia kuna kimbembe cha kuandika pepa na presentations.
Ngoja nikajinoe.
Lkn Je, ni wapi hasa napaswa kuzingatia kwenye hii lugha?
Grammar na tenses?
Mana hata question tags zinanipasua kichwa!!
Hizi shule za jakaya bhana, una ufaulu mkubwa lkn lugha zero!