JamiiForums game of the year

Nitonye sio mlevi bana, kama unahamu ya makofi useme.
useme ukweli tu upate msaada....hivi ile kitu inameswa na mwensake alikupa lini vile maana kila siku yuko bar muda wote
 
SWALI la kizushi kwako ericky...umevunja ndoa tarajiwa ya Mtei?
Mtei? Mbona hana chake tangu mwanzo....
Nilishamwambia tangu zamani kuwa aachane na ndoto za kumtaka Amyner na amuheshimu kama shemeji yake wa pekee ila akaniletea jeuri....Wacha nimuonyeshe kuwa mimi ni high level
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…