Kuku wa jana bado nawatafuna!
nawatafuna?! mie nawatafuta sana! Hi CANTA?
hajambo, japo sijui anaendeleaje! wewe unajua kuhusu aliko?
wewe unajua kuhusu aliko Kanumba?umetisha..!
umetisha nini tena? mie namuongelea Smile....
smile yangu ni noma.yaan nikitabasamu lazima upagawe
smile yangu ni noma.yaan nikitabasamu lazima upagawe
upagawe kivipi?! Subiri akija hapa Bibie Smile utafurahi mwenyewe!
Mwenyewe(wewe) mwizi sana. Si mfano wa kuigwa
upagawe wewe mwenye mapepo. Yeye hana mapepo japo kuwa ali2mia uchawi kumchukua smile.
Mwenyewe(wewe) mwizi sana. Si mfano wa kuigwa
Kuigwa na wengi kunafanya chati yako ipande.
Kuku wa jana bado nawatafuna!
Thread hii ni kweli ndo thread ya mwaka aisee naikubali sana tuSana? Ama sanaa? Kila kitu Tz kinapendeza sana especially this thread!
Thread hii ni kweli ndo thread ya mwaka aisee naikubali sana tu
Smile alikutosa.....!upagawe wewe mwenye mapepo. Yeye hana mapepo japo kuwa ali2mia uchawi kumchukua smile.
Nimeikubali hadi huwa lazma nipite kuona inavyotambaa kwa kasi sana na haitachuja kamweSana tu yani,mi mwenyewe nimeikuibali .
Nimeikubali hadi huwa lazma nipite kuona inavyotambaa kwa kasi sana na haitachuja kamwe