JamiiForums game of the year

Kujulikana atajulikana tu,endelea kufuatilia.
Kufuatilia mwanzo mwisho na kila nikifuatilia naandika kitu na mwengine akija kufatilia anaunganisha hii game labda siku wakiamua kuifunga JF ndio itaisha.
 
Kufuatilia mwanzo mwisho na kila nikifuatilia naandika kitu na mwengine akija kufatilia anaunganisha hii game labda siku wakiamua kuifunga JF ndio itaisha.

Itaisha tu na mshindi atapatikana.
 
Kufuatilia mwanzo mwisho na kila nikifuatilia naandika kitu na mwengine akija kufatilia anaunganisha hii game labda siku wakiamua kuifunga JF ndio itaisha.

Itaishaje na jamaa kaweka bonge la gemu, halafu watu waviiivu hata kumpa thanks mpaka awe alwatani au?
 
Itaishaje na jamaa kaweka bonge la gemu, halafu watu waviiivu hata kumpa thanks mpaka awe alwatani au?

au tungoje mpaka saa sita usiku december 31st 2012 ndo tutajua mshindi.
 
Itaishaje na jamaa kaweka bonge la gemu, halafu watu waviiivu hata kumpa thanks mpaka awe alwatani au?
Au mpaka akivuta km The Great ndio wataanza kumfagilia,hebu ngoja nimgongee japo like kwa hili jigame la ukweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…