pembeni ni mnyama huku kwetu
Kwetu kuna popobawas
noma na iwe noma sikubali
sikubali na wala sintokubali kulala bila kurambaa leo.
leo ni leo asemaye kesho ni muongo!
Mwenyewe nafukuzia manzi wako
wako wapi watu wa jukwaa la siasa humu, mbona ni wapo wa mmu na cc peke yao?
Yao sio kabila hilo jamani linalopatikana mikoa ya kusini huko mwa Tanzania?
Tanzania nasikia ndio inaongoza kwa wadada walio vigoli(untouched) Afrika Mashariki na Kati...
Bwana m ndo mshindi
Mshindi au komoa?
mshindi,we wa kuwa mshindi hata hufanii mshindi mie hapa!
hapa huniambii ki2 mamy kama vp xapa 2