Tutaandamana Mana wana Visa sana Wakunaji.
Tunapata Maumivu lakini wao Bado Wanaendelea.
Wanaendelea kukuna hata Kama mkunwaji huwashwi..
Huwashwi panapowashwa ila huendelea papasa pasi na visa.
Wana ni-Gharhe we acha tu Remmy.
Ila Mkunaji na Mkunwaji yupi 'Anasikilizia' zaidi?
Zaidi? Mkunaji ndio anasikilizia....
Uimbaji na upigaji vigelegele ni wa muhimu.
Muhimu sana.
Ila Vigelegele vikiwa vingi sana navyo kero kwa Majirani wasiohusika na Sherehe hiyo.
waondoke tu maana majirani sometimes wana mambo ya umbea.
mduara raha yake mue wengi!!Pwaniiiiiiii.... umenikumbuasha mduara!
wengi mtauchezaje mduara?mduara raha yake bana watu wawili tu, mmoja mbele, mwingine nyuma.mduara raha yake mue wengi!!
wengi mtauchezaje mduara?mduara raha yake bana watu wawili tu, mmoja mbele, mwingine nyuma.
analizungusha hadi linachoka lenyewenyuma hlf kakaa mwanaume, hapo demu analizungusha.
analizungusha hadi linachoka lenyewe
mafumbo yamezidiLenyewe nini jamani?? Mmeniacha mnaongea lugha ya mafumbo...
mafumbo yamezidi