Taarifa kwa wachangiaji! Kuna mengi ya kujadili yenye maslahi, wanaochangia ishu za siasa tu nadhani ni mambumbumbu
mambumbumbu hivi huwa wakoje vile?
Vile vile na umbumbumbu siyo kitu cha kufurahisha.
Kufurahisha Tz? Kila ukiamka full matatizo afadhali ya jana.
Jana niliumia sana niliposikia ule mkanda wa Dr. Uli
kwenye kipindi cha njia panda.
kigogo kuna vibaka wengi, sio mahali salama pa kuishi,
kuish kwingi ni kuona mengi,
kidogo kidogo hujaza kibaba,
kibaba cha unga au mchele?
Kidogo nimeona watu wakitolewa kucha na meno bila ganzi,
kidogo nimeona watu wa jinsia moja wakifunga ndoa, haya ni mengi sana.
hahahaaaa,
sana sana wanaonfanyiwa hizo ni wale wanaousumbua mtandao wetu.
huelewi nini bana, kuja pande hii upate kitu roho inatakawetu au watu mi sikuelewi
huelewi nini bana, kuja pande hii upate kitu roho inataka
roho inataka gonga like comment yako, lakini kwa ulivyo mchoyo kwa "like given" , roho imekataa..!!