JamiiForums game of the year

Upya wao hautafua dafu kwa nguvu ya umma...
 
Magogoni ni mahsusi kwa wale watafuna nchi
 
Wasweet Magogoni akiwemo Mwanaasha wanatafuna taratibu kodi zetu.
 
Uongozi wa nchi hii umekuwa ni wa kurithishana, anatoka baba anaingia mtoto.
 
Urithishaji wazidi kushamiri,
Jana tu alianza baba Ikulu,
Leo twamsikia mama NEC Lindi,
Kesho ni nani afuata kama si mwana?
 
Urithishaji wazidi kushamiri,
Jana tu alianza baba Ikulu,
Leo twamsikia mama NEC Lindi,
Kesho ni nani afuata kama si mwana?

mwana mkubwa wa jk ndiye injini ya wizi wa rasilimali zetu. Fukuza huyo shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…