Kwamba umevimba kifua kama nyani? Au 🤣 🤣 🤣mazoez mhim sana, nliingia gym kipindi niko secondary🤣, ila sasa sitak ule mwili aisee, mwendo wangu umeharibika natembea kifua mbele, naichukia hii hali.
Rosemary? Hapanaa...Kuna majani Yale sijui Catherine hivi yanasaidia?
Ni kama teabags bwana wanauza hawa watu wa instaRosemary? Hapanaa...
Okey labda...sijawahi kuziona..ngoja wajuvi wanaozijua waje wakupe muongozo...Ni kama teabags bwana wanauza hawa watu wa insta
Wakikwambia uniambie na mim dogo yaani napumua juujuu hapa
Catherine yanasaidia ila cha kwanza nafikiri ni kubadili habit ya ulaji na kuwa na self discipline 😅Kuna majani Yale sijui Catherine hivi yanasaidia?
Tatizo mavyakula ya kitanzania ni matamu jamani 😙😚Catherine yanasaidia ila cha kwanza nafikiri ni kubadili habit ya ulaji na kuwa na self discipline 😅
Siku hizi najibana sili usiku, na vimazoezi vya hapa na paleWakikwambia uniambie na mim dogo yaani napumua juujuu hapa
Jamani wangetupa tu mbadala yule nini ila kulala kabisa dash ni huzuni kwa kweliSiku hizi najibana sili usiku, na vimazoezi vya hapa na pale
Piga hata la kulimalima bustani!Nataka nianze kupunguza Kilo Kwa Sasa Nina 75
Wakati Mwaka Jana nilikuwa ma 64/65.
Nahisi Mwili umekuwa mzito mambo mengi yamebadilika