Alhamdullah, wana JF na mie nimepata kazi kwa kupitia matangazo ya humu.
Nawashauri sie tusie na marefa ukiona tangazo we tuma na umuombe Mungu tu, maana mie huu ni mwaka wa nne tangu nimalize chuo. Tusijikatie tamaa, tujaribu kufanya kazi hata za kujitolea kuongeza experience. Mungu awatilie wepesi wote wanaoendelea kutafuta kazi.
Mungu ibariki JF yetu isonge mbele.
Nawashauri sie tusie na marefa ukiona tangazo we tuma na umuombe Mungu tu, maana mie huu ni mwaka wa nne tangu nimalize chuo. Tusijikatie tamaa, tujaribu kufanya kazi hata za kujitolea kuongeza experience. Mungu awatilie wepesi wote wanaoendelea kutafuta kazi.
Mungu ibariki JF yetu isonge mbele.