Hongera zako mkuu,mi nina miaka 2 nautafuta wa 3!but kaz za bila malipo imekua ngumu kwangu, nimeomba sehem mbalimbali bila mafanikio,labda mnisadie ni makampuni ama taasisi gani zinapokea watu wa design yangu,nina postgraduate ya uhasibu.Pls help!
Wengi tu wanapata kazi bila marefa! Hongera sana. Kumbuka chezea mshahara usichezee kazi.
Kila la kheri, usibweteke.
Kwa Elimu uliyokuwa nayo Nakushauri uende JWTZ,japokuwa sifahamu utalipwa Kiasi gani. Ila ukiwa na DEGREE unaanza na Nyota 2. Wenye PGD sijajua waanzia vipi. Ni Ushaur wangu tu Mkuu