JamiiForums inastahili tuzo, imetusaidia wengi

Damnnn..!!!
RIP
 
"Kwa vile hatujui siku wala saa ya kutoka duniani hapa, leo Shehe mkuu katutangulia mbele ya haki, hatujui kesho ni zamu ya nani! Tusameheane.

Lengo letu kuu liwe moja, kuiona au kuiacha nchi yetu ikiwa sehemu salama ya kuishi, tuache misingi imara kwa wanetu, wabishane lakini wasipigane au kuuana, watofautiane lakini wasiigawe nchi".

IRP KAMANDA.
 
Hii ndiyo ilikuwa JF kweli kuacha hii ya majinga akina Lucas Mwashambwa
 
Mungu azidi kuipumzisha Roho yako mahali pema peponi Kamanda
 
Najuta kutokumfahamu mapema kamanda Mawazo nimekuja kusikia story zake baada ya kuzikwa kama mwaka hivi asee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…