Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time is money...!kwa watu wanaojua thaman ya muda hawawezi uliza swali kama hili.So ni udalali?
Usijali kabisaa jamani, nitasambaza habari!asante mno waambie wengine wanaohitaji huduma.
Itakua sifahamu ndo maana nmeulizaTime is money...!kwa watu wanaojua thaman ya muda hawawezi uliza swali kama hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
A great thinker thank you.Time is money...!kwa watu wanaojua thaman ya muda hawawezi uliza swali kama hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
nachukua hii sasa hivi yani.. Am so happy kwa support.Hongera, ila ujue dunia inaenda kasi kuliko kasi yenyewe.
Ili upate wateja/biashara huna budi kujitangaza. Najua JF nayo ni hadhira kubwa sana ila jitangaze insta, fesibuku, twita na kwingineko ambako jamii ya leo inahsinda humo.
Tena ufanye hima ikiwezekana weka na tupicha twa vijana wako wakiwa nadhifu tayari kuwahisha huduma kwa UAMINIFU.
Ukichelewa kujulikana atakuja supastaa atabeba hii biashara utashaa anateka soko, jikite zaidi kujitangaza.
Nikutakie kila la kheri na mafanikio mema.
Mwaka mpya mwema.
Kila wakati.Asante.. Mungu ni mwema sana.
nachukua hii sasa hivi yani.. Am so happy kwa support.
Hata udalali ni huduma katika tafsiri pana..hapana mtu akikaa foleni then ukaja badae kuendelea na huduma. ukimlipa sio udalali ni huduma.