Jamiiforums kuna matajiri tupu


Hahahaaa na hiyo ndo manake
 
Jembe afrika...! Mawazo mgando hayo kwenda nje kudrive na kuishi kwenye nyumba yako ni haki ya kila mtz claim it!!!
 
"Haki ya nane",ukiwa na roho ya kuku huingii tena JF!Full mikogo,na mbwembwe to the fullest...nyeee...!
 

kwahio kwako wewe ANAEDRIVE,ANA NYUMBA,ANAFANYAKAZI OFISINI NA ANENDA NJE MARA KWA MARA NI TAJIRI??!
 
Ni vizuri pia tuwaige ambao wameshafanikiwa. Wengi wamo humu humu jf.
 
kwahio kwako wewe ANAEDRIVE,ANA NYUMBA,ANAFANYAKAZI OFISINI NA ANENDA NJE MARA KWA MARA NI TAJIRI??!

Uswahilini sio kudrive tu...bali ukimudu kuvaa vizuri na kunukia basi unawekwa kwenye kundi la matajiri....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Umesema kweli hapa nilipo nipo uturuki nageuza bongo kuna deal la milioni mia tano namalizia.nikifika bongo tukutane kwangu masaki kwenye ile range yangu nyeusi.

Mkuu hapa umenichanganya kidogo; kwamba "unaishi masaki kwenye range nyeusi"?
 

mkuu sio kweli mbona hata sisi wakushi tumo humuu....tukisha maliza kutengeneza cutural pale mitaa ya kati.tuna barizi humu
 

Umeongea aisee! Nyingi sana hizi "wakati natoka japani....",nikiwa ofisini kwangu..." " gari yangu break zikafail.."" mabizness partier wangu kutoka UK..."nikachukua loan ya sh mil 700 ofisini". Yaaani ni hatari! Ukiwaza sana unaweza ukaogopa kuchangia post humu!
 
babagodi mbona mimi sio tajiri lakini juzi juzi tu nimetoka london na nilivyofika nyumbani bmw yangu gia zikagoma kuingia na sasa hivi inabidi nisubiri business partner wangu kule UK atume audi maanake nishachoka na hii bmw.....ha ha ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
babagodi mbona mimi sio tajiri lakini juzi juzi tu nimetoka london na nilivyofika nyumbani bmw yangu gia zikagoma kuingia na sasa hivi inabidi nisubiri business partner wangu kule UK atume audi maanake nishachoka na hii bmw.....ha ha ha ha ha

Hahahahahaha! Hivi tafsiri ya tajiri ni ipi mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha! Hivi tafsiri ya tajiri ni ipi mkuu?

kuwa na gari na kusafirisafiri sio utajiri ni vitu ambavyo mtu wa kawaida anaweza kufanya,sio mpaka uwe tajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…