Jamiiforums kuna matajiri tupu

Jamiiforums kuna matajiri tupu

Aisee..nipo kwako huku juu nakusubiri...au niswim kidogo wakati nasubiri urudi😉

Leo nipo Kishiri shambani nakusubiri .....

Nikitoka hapa nakwenda Mhandu nyumbani ....!!
 
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.

Unaogopa tu bure...so far watu niliokutana nao humu ni wa kawaida hakuna mwenye mapembe ndo maana story za kutunga nyingi humu ilimradi tu mtu ajitoe stress
 
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.

Loading error....
 
Usiogope makunyanzi ya watu, komaa kijana!
 
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.

Vipi, wamekukwaza?
 
Umaarufu jf,wasomi jf,wao na vikao na watu wakubwa tu, yaan ni shidaaa humuu
 
Back
Top Bottom