Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana ungekuwa huku kijijini kwetu ningekuchumia majani fulani unuse mafua kwisha kabisa ila kwasababu nawew ni tajiri ndio bas tena looo
Aisee..nipo kwako huku juu nakusubiri...au niswim kidogo wakati nasubiri urudi😉
duuuuuuuTwende ukasafishe nyota...bibie.....ushawahi kunywa chai Hollywood....???
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Teh teh..utakuta hapo umesimama unakunywa juisi ya muwa...ndo raha ya fake id
usisahau kuja na hummer ya mdogo wako,..Na mimi nnae umwa mafua, niko huku Uingereza Potland hospital, nawasalim tu....
Ki ukweli mm binafsi niko vizuri
Mkuu nitake radhi....juice ya miwa huwa nakunywa pale SERENA HOTEL......
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Hahahaaaaaa lol...
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
kweli aiseeUsiogope makunyanzi ya watu, komaa kijana!
Nilikuwa naenda kumwona mwanajf mmoja,nikamwuliza nipande Nikipanda daladala nishuke kituo gani? Akanijibu kwani hudrive?