Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mechi inaanza saa ngapi, nataka kuja kushangilia
Na wewe umesahaulika nini shosti? Karibu kitimoto.
Hizi timu mbona wachezaji wenyewe hatupo naona wamejaa mashabiki
MTN,AB hawapo?
Hizi timu mbona wachezaji wenyewe hatupo naona wamejaa mashabiki
MTN,AB hawapo?
Ha ha haaaa! Labda tutaitwa Jahazi likianza Kuzama
Angalia mazee huyu SHE/he?
Nahisi itakuwa volleyball ndio maana wanasoka hatupoSasa hizi ni mechi za mchezo upi? soka, basket au bedminton?
Nahisi itakuwa volleyball ndio maana wanasoka hatupo
Mmmh! Siku hizi hivi hvina tena nafasi kwani mpira unapigwa ki-book zaidi kuliko kindumba. Fidel80 hawezi pata hivyo yeye alikuwa na mitikasi mingine kabisa, na hiyo baridi ya Tukuyu sijui impact yake itakuwajeha ha ha ha! alikuja navyo Fidel80 kutoka vacation tukuyu usimwambie mtu lakini
Kocha Kandambili itabidi unipe Unahodha wa hii timu na nitahakikisha tunachukua kombe.Team H
- Mzee Mwanakijiji
- MtuwaKawaida
- Next Level
- Nyambala
- RoyaRoy
- Ziondaughter
- Ulate
- Superman
- MgonjwaUkimwi
- Ndahani
- Junius
Substitute
Kocha: Kandambilimbili
- Mbogela
- Mauza uza
- Limbani
- Jerome
- Nyani<abiziani>
Sipo
JF Senior Expert Member
Join Date: Fri Jul 2008![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Posts: 867
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Mko kikosi B mkubwa
wewe Belo, Chrispin, Geoff, Mirtkad, Shishi, n.k
Mkuu mbona unatuingiza kwenye mechi za mchangani? Ligi yetu bado haijaanza bana.
Mkuu mbona unatuingiza kwenye mechi za mchangani? Ligi yetu bado haijaanza bana.
Napenda kukusalimu mnyonge wangu ,habari za wikiendi!.pole sana haujapangwa kwenye timu yoyote,usijali utachukua nafasi moja ya pretty amepangwa mara 2,mbona wewe ni kipa mzuri tu?.