Ila hii haijabadilika sana kutoka jina la awali si ndio?Kabisa unafikiri nitakutajia?!! Hii yenyewe imebadilika majina(zamani ulikuwa unaweza kubadili jina ila akaunti inabaki ile ile)
thank u for recognition.... one love!
Hata sasa unabadili jina na akaunti inabaki ile ile. Ndivyo nilivyofanya mimi.Kabisa unafikiri nitakutajia?!! Hii yenyewe imebadilika majina(zamani ulikuwa unaweza kubadili jina ila akaunti inabaki ile ile)
Kuna siku YourNameIsMine nimemtaja si akaibuka na like...Wengi wapo humu sema hawaibuki tu
Sasa hivi mpaka uombe, zamani ilikuwa unafanya mwenyewe.Hata sasa unabadili jina na akaunti inabaki ile ile. Ndivyo nilivyofanya mimi.
Mkuu wewe ni Arsenal kajitoe kule Liverpool....ni aibu timu kubwa kama Liverpool muanzilishi wa thread yao awe Arsenal damu!......kweli kabisa mzee mwenzangu, miaka 10 JF si mchezo, kama Nyani mzee....tumeyaona mengi.
Shukran sana kwa kutukumbuka.
[emoji3][emoji1417]
Ulikuwa unatumia jina lako halisi nini!!! Yale yaleee yalonikuta.Hii hapa ukirudi nyuma sana 2010 hivi utaona kuna posts zina jina la zamani....ile ya mwanzo ilibidi nibadili nilikuwa sijui maana ya anonymity.
Ooooh kumbe!!! Ila hii ya kuomba mbaya sana,sijui walifikiria nini!!!Sasa hivi mpaka uombe, zamani ilikuwa unafanya mwenyewe.
halafu ww mzungu mweusi ushaanza na mambo yako ya ngeli.... me nimeandika kibongo bongo buanah sio rasmi kiviiileeeeeeee*thank you for the recognition*
Sasa hivi mpaka uombe, zamani ilikuwa unafanya mwenyewe.
halafu ww mzungu mweusi ushaanza na mambo yako ya ngeli.... me nimeandika kibongo bongo buanah sio rasmi kiviiileeeeeeee
Hivi wewe hukuwa ukibadili majina mara kwa mara?Hmmm
Zamani ipi ambayo ulikuwa unaweza kubadili jina mwenyewe?
Maana tokea hata kabla JF haijawa JF, yaani enzi za TEF utaratibu ulikuwa ni huu huu kama ilivyo leo.
Ni mwaka gani kati ya 2006 na 2017 ambapo mwanachama alipewa uwezo wa kubadili jina mwenyewe?
Mimi nilibadili jina mwenyewe from......to RRONDO
Nami naomba nikujue,haiwezekani unajulikana na wengi alafu mimi sikujui.Wala, ila nilikuwa free sana hadi nikajulikana na wengi....hata sasa hivi najulikana na wachache lakini.
Hio ilikuwa zamani...sasa hivi big NO!Nami naomba nikujue,haiwezekani unajulikana na wengi alafu mimi sikujui.