JamiiForums Legends of ALL Time

JamiiForums Legends of ALL Time

Kama unawafahamu hawa...hakika Daby hata wewe Legendary!!
Nawasalimu wakuu...
Nafurahi sana kuiona Jf ikikua na members kuongozeka sana!! Nimetumia muda mrefu kidogo kusoma kinachoandikwa hapa jukwaani kwa sasa nikifananisha na tulikotoka...

Naona sasa hivi kuna vitu hata watu ambao havi/hawaendani kabisa.

Nakubaliana na mabadiliko kabisa kabisa...
Kama ilivyo kwenye nyanja nyingine mfano soka, kikapu hata mchezo wa pete(netball)
Watu wana wika na ku potea lakini bado kuna namna ambavyo ubora wao hausahauliki...

Bila chuki, wala hiyana kuna watu ni ma legendary hapa, wengine bado wapo, wengine hawapo au wamebadili ID zao ili kuendana na wakati uliopo...

Sasa nitatumia uzi huu kutambua hawa watu.
Kwa Lugha Nyepesi nitawaita JF Legendaries of All Time.
Unaewika sasa hivi usijali sana utakuwa Legend wa baadae...

Si vibaya na wewe ukawatambua kwa kuwataja Malegendari wachache...
Mnakumbuka JF wings!! Arusha Wing, Mwanza Wing, Dar es Salaam Wing?

Naanza sasa na kwa heshima kila mmoja tumpe comment ya pekee.

Kama umejiunga baada ya 2007 hustahili kuitwa legendary.
 
......kweli kabisa mzee mwenzangu, miaka 10 JF si mchezo, kama Nyani mzee....tumeyaona mengi.

Shukran sana kwa kutukumbuka.
[emoji3][emoji1417]
Asante Mshika bunduki mwenzangu...

Wewe ndiye muasisi wa thread nyingi za timu za EPL na La Liga...

Kuna watu kama Game Theory, Peasant , mfuasi wa Ronaldinho Gang Chomba, Manda, Icadon, Masanilo, Baba Mkubwa na wengine wamepotea kabisa Jukwaa letu pendwa la michezo..
 
Mimi nilibadili jina mwenyewe from......to RRONDO
Sio kwamba uliwaomba Mods wabadili jina?...

Maana mimi nilishindwa kubadili Id yangu ya mwaka 2006 ikabidi nifungue mpya mwaka 2008...

Haikuwezekana mtu kubadili jina...Ni mpaka uwafuate Invisible, Silencer, Pain Killer, Paw , Max au yule mod mwanadada
 
Sio kwamba uliwaomba Mods wabadili jina?...

Maana mimi nilishindwa kubadili Id yangu ya mwaka 2006 ikabidi nifungue mpya mwaka 2008...

Haikuwezekana mtu kubadili jina...Ni mpaka uwafuate Invisible, Silencer, Pain Killer, Paw , Max au yule mod mwanadada
Labda niliwaomba sikumbuki...ila ukirudi nyuma kuna posts zangu zina hilo jina.
 
Back
Top Bottom