Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
HahahahahahaAti nikufanye nini? 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaAti nikufanye nini? 😀😀
Nimemmiss
OMG we ngabu ujue nilishakuaga kwamba tukajenge taifa (kila mmoja wetu akajenge taifa lake kwenye nchi alipo)Ati nikufanye nini? 😀😀
Mkuu wewe ni Arsenal kajitoe kule Liverpool....ni aibu timu kubwa kama Liverpool muanzilishi wa thread yao awe Arsenal damu!
Abee.atoto [emoji6]
unamtongoza ngabu live..?OMG we ngabu ujue nilishakuaga kwamba tukajenge taifa (kila mmoja wetu akajenge taifa lake kwenye nchi alipo)
Jawilat
Kama unawafahamu hawa...hakika Daby hata wewe Legendary!!
Nawasalimu wakuu...
Nafurahi sana kuiona Jf ikikua na members kuongozeka sana!! Nimetumia muda mrefu kidogo kusoma kinachoandikwa hapa jukwaani kwa sasa nikifananisha na tulikotoka...
Naona sasa hivi kuna vitu hata watu ambao havi/hawaendani kabisa.
Nakubaliana na mabadiliko kabisa kabisa...
Kama ilivyo kwenye nyanja nyingine mfano soka, kikapu hata mchezo wa pete(netball)
Watu wana wika na ku potea lakini bado kuna namna ambavyo ubora wao hausahauliki...
Bila chuki, wala hiyana kuna watu ni ma legendary hapa, wengine bado wapo, wengine hawapo au wamebadili ID zao ili kuendana na wakati uliopo...
Sasa nitatumia uzi huu kutambua hawa watu.
Kwa Lugha Nyepesi nitawaita JF Legendaries of All Time.
Unaewika sasa hivi usijali sana utakuwa Legend wa baadae...
Si vibaya na wewe ukawatambua kwa kuwataja Malegendari wachache...
Mnakumbuka JF wings!! Arusha Wing, Mwanza Wing, Dar es Salaam Wing?
Naanza sasa na kwa heshima kila mmoja tumpe comment ya pekee.
hehehe hivi ngabu anatongozeka kweli kirahisi rahisi?unamtongoza ngabu live..?
Hahahahaha
Asante Mshika bunduki mwenzangu.........kweli kabisa mzee mwenzangu, miaka 10 JF si mchezo, kama Nyani mzee....tumeyaona mengi.
Shukran sana kwa kutukumbuka.
[emoji3][emoji1417]
Sio kwamba uliwaomba Mods wabadili jina?...Mimi nilibadili jina mwenyewe from......to RRONDO
Labda niliwaomba sikumbuki...ila ukirudi nyuma kuna posts zangu zina hilo jina.Sio kwamba uliwaomba Mods wabadili jina?...
Maana mimi nilishindwa kubadili Id yangu ya mwaka 2006 ikabidi nifungue mpya mwaka 2008...
Haikuwezekana mtu kubadili jina...Ni mpaka uwafuate Invisible, Silencer, Pain Killer, Paw , Max au yule mod mwanadada