Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
What is alberto?
Is it a new Vodka in town?
Cheupe hujambo bibie? Nasikia unalea mapacha siku hizi....
Hongera.
Mjinga hajibiwi..
Kabadilisha ikasomekaje?hehehe hivi ngabu anatongozeka kweli kirahisi rahisi?
hebu soma nilichoandika kabla ya quote ya ngabu....nilimwandikia "niombee" yeye akabadilisha ili isomeke vile 😵😵😵😵 ....
Salama mkubwa?
Ningekata rufaa usingekuwepo hapa..
Mkuu bado uko pande za Mkuranga, nikikumbuka ule uzi wako wa 10M, huwa nafurahi mwenyewe, ndio uzi ulio-hit vibaya nyakati zile. Kwema lakini?.......asante kaka. Kiukweli, huwa napitia angalau mara moja kwa siku, ila dahhh....Spidi ya 4G nashindwa kwenda nayo,....[emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi, Mchagga wangu wa Tanga kabadili jina nini? Namkumbukia kwa jina la MwanajamiiOne,.....Babu yake,...mzee @Aspirin namuona yupo gado.
BelindaJacob nae?,....
Tupo pamoja mkuu,
JF Daima.
Nshamaliza mkuu napambana kitaaUshamaliza shule?
Mkuu, na mimi ji lejendari?
Nakukubali sana mkuuASANTE KWA KUNIPA HESHIMA KUBWA NAMNA HII. BE BLESSED
Kiongozi nakuomba radhi...Ni dhambi sana kunisahau mimi we jamaa...Hahaaa..Dah...Kitambo sana
Bala.
Mkuu bado uko pande za Mkuranga, nikikumbuka ule uzi wako wa 10M, huwa nafurahi mwenyewe, ndio uzi ulio-hit vibaya nyakati zile. Kwema lakini?