JamiiForums Legends of ALL Time

Mkuu bado uko pande za Mkuranga, nikikumbuka ule uzi wako wa 10M, huwa nafurahi mwenyewe, ndio uzi ulio-hit vibaya nyakati zile. Kwema lakini?
 
Hahahaha, acha kabisa kaka, ule uzi bado upo hewani ujue! Namshukuru Mola, bado unaendelea kuwa ni kivutio kwa wasomaji wengi wa JF.

Mimi nipo all over the place, Alhamdulillah mambo sio mabaya sana. Napambana na hali yangu. [emoji23][emoji23][emoji23]

Tupo pamoja kaka.

Mkuu bado uko pande za Mkuranga, nikikumbuka ule uzi wako wa 10M, huwa nafurahi mwenyewe, ndio uzi ulio-hit vibaya nyakati zile. Kwema lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…